JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Hivi nape hapa ndio mwisho wa akili yake..? na ndio huyu tunaetegemea atuletee maendeleo..? na je hivi huwa hawafanyii interview kabla ya kuwasainisha payroll zao.? nape hata ubalozi wa nyumba kumi hawezi
Kamwambie Nape kituo cha kazi alipokupangia ukiwezi akubalishe.
wadau hawaelewi