Mbowe, Lisu, Mdee, Mnyika, Mashinji, Msigwa, Sugu ni very hopeless.... Hawa ndio wanauwa CHADEMA... Chadema ya sasa ni ya vioja sio hoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na Chadema kuwa hopeless na ya vioja lakini ukweli mnaujua kwamba kama uchaguzi ukiwa huru na wa haki mtapigwa tu tena vibaya sana, na hii inaonyesha ni jinsi gani chama chenu cha wahuni na mafisadi kilivyochokwa na Watanzania walio wengi.
Madiwani kibao wanakihama Chama
Wenye viti wa Chadema utitiri wanakimbia chadema
Wafuasi wengi sana wanaichukia chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama CUF Zanzibar inavyomfia mikononi Maalim Seif Sharif Hamad.Madiwani kibao wanakihama Chama
Wenye viti wa Chadema utitiri wanakimbia chadema
Wafuasi wengi sana wanaichukia chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo mkuu unawashauri wafanyejeMadiwani kibao wanakihama Chama
Wenye viti wa Chadema utitiri wanakimbia chadema
Wafuasi wengi sana wanaichukia chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha aisee unachekesha sana. Yaani nakwambia Magufuli akipata pct ndogo kuanzia sasa mpaka 2025 ni asilimia 85
Sent using Jamii Forums mobile app