Itawapata zaidi watu wachache wa kanda ya Mashariki waishio Kimara, Sinza, Mbezi, Boko, Tegeta na wachahce wa Msasani. Haiwezi kabisa kupa watu wa Temeke, Ukonga, na hata Magomeni , kariakoo na kigamboni.
Sababu kubwa chama ni cha Ukanda na ukabila bila kusahau udini
Kazi kwenu
Umefika wakati sasa jifunze kuwa na helicopter view, utaifa zaidi kuliko dini yako. Taifa linapokuwa na umaskini wa kujitakia kama hili la TZ kila mtu regardless anatoka dini, kabila, kanda gani, lazima ataathirika
I urge you to move from that comfort zone ya udini kwa sababu ndio inayotufanya tuwe miles away from development path. Liangalie Taifa lako na vizazi vinavyokuja.
You still have time to change, lakini short of that the tides of change will overtake you, cos you can't stop the Tsunami of change, u really can't!
Hivi unaijua Dar vizuri.Itawapata zaidi watu wachache wa kanda ya Mashariki waishio Kimara, Sinza, Mbezi, Boko, Tegeta na wachahce wa Msasani. Haiwezi kabisa kupa watu wa Temeke, Ukonga, na hata Magomeni , kariakoo na kigamboni.
Sababu kubwa chama ni cha Ukanda na ukabila bila kusahau udini
Kazi kwenu
Itawapata zaidi watu wachache wa kanda ya Mashariki waishio Kimara, Sinza, Mbezi, Boko, Tegeta na wachahce wa Msasani. Haiwezi kabisa kupa watu wa Temeke, Ukonga, na hata Magomeni , kariakoo na kigamboni.
Sababu kubwa chama ni cha Ukanda na ukabila bila kusahau udini
Kazi kwenu
Huyu bwana anakaa wapi? hajafanya uchunguzi wa kutosha, anafikra za majitaka,
Anakaa Mkanyageni Pemba huyu jamaa achana nae....ni kama kirus kwenye Computer
na huyu ndio mshambuliaji wao makini anayefanya zoezi zima la kuvizia au siasa za kuotea,dah jamaa ni hatari sana na huyu si mwingine bali ni dakta Slaa,eti kwa CV hii yote sikuamini umaskini wa karatu uko kiasi kile na huyu mviziaji alikuweko
1. PADRI WA KANISA LA KATOLIKI 1977-1978-1979-1980-1981-1982-1983-1984-1985-1986-1987-1988-1989-1990-1991
2. Mkurugenzi wa maendeleo (Jimbo Katoliki la Mbulu). 1977-1979-1982-1985
3. Katibu Mkuu, Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), 1985-1991
4. Mkurugenzi Mtendaji,chama cha wasioona Tanzania, 1992-1998
5.Mbunge wa Karatu 1995-2010
pamoja na kuotea(off side trick) zote alishindwa kuwaletea neema watu wa karatu,sasa uraisi atauweza? embu kujeni na mbinu mpya dah CDM mnachekesha sana,nasikia Dakta pia ni muoteaji mzurii sana wa mambo flani....teeh
We Prudence kama alivyo kaka yako Padre Privatus na kaka yako Primus ni wazuri sana wa kujenga hoja watu wa Ibwera kule aragwe.
Lakini kwa hili Classmate wangu imekupuruchuka.
Kwani lazima ujue kuwa kazi ya Vyama vya Upinzani ni kuizindua na kuikosoa Serikali iliyopo madarakani kwa nia na madhumuni ya kufanya nchi iende sawia. Kwa hiyo Serikali yoyote iliyo makini ni ile inayochambua kauli za wapinzani na zile wanazoziona zinawakwaza wananchi basi inaweka kipaumbele katika kuzitatua.
Mfano mdogo ni issue ya katiba mpya. hata kule Kenya utaiona upinzani ndio ulioshinikiza na serikali ikakubali na baadae wamepata katiba mpya. Si rahisi kwa Serikali yenyewe na chama chake kutaka katiba mpya sababu kubwa katiba hiyo mara nyingi ina kipendelea chama tawala.
Kwa hiyo Upnzani si dhambi na ni wajibu wao kuikosoa serikali pale inapokosea.
Nyegera waitu
Hiyo ni tafsiri ya ofside trik? Nadhani ni mfumo wa kuotea na si wa kumzidi nguvu mpinzani. Mfano cdm wanaotea halafu ccm wanarudi nyuma wakidhani refa atapiga filimbi kumbe hafanyi hivyo, then cdm wanapata goli
si kaletwa town na mabwana zake"Hivi unaijua Dar vizuri.
Itawapata zaidi watu wachache wa kanda ya Mashariki waishio Kimara, Sinza, Mbezi, Boko, Tegeta na wachahce wa Msasani. Haiwezi kabisa kupa watu wa Temeke, Ukonga, na hata Magomeni , kariakoo na kigamboni.
Sababu kubwa chama ni cha Ukanda na ukabila bila kusahau udini
Kazi kwenu
na huyu ndio mshambuliaji wao makini anayefanya zoezi zima la kuvizia au siasa za kuotea,dah jamaa ni hatari sana na huyu si mwingine bali ni dakta Slaa,eti kwa CV hii yote sikuamini umaskini wa karatu uko kiasi kile na huyu mviziaji alikuweko
1. PADRI WA KANISA LA KATOLIKI 1977-1978-1979-1980-1981-1982-1983-1984-1985-1986-1987-1988-1989-1990-1991
2. Mkurugenzi wa maendeleo (Jimbo Katoliki la Mbulu). 1977-1979-1982-1985
3. Katibu Mkuu, Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), 1985-1991
4. Mkurugenzi Mtendaji,chama cha wasioona Tanzania, 1992-1998
5.Mbunge wa Karatu 1995-2010
pamoja na kuotea(off side trick) zote alishindwa kuwaletea neema watu wa karatu,sasa uraisi atauweza? embu kujeni na mbinu mpya dah CDM mnachekesha sana,nasikia Dakta pia ni muoteaji mzurii sana wa mambo flani....teeh
We Prudence kama alivyo kaka yako Padre Privatus na kaka yako Primus ni wazuri sana wa kujenga hoja watu wa Ibwera kule aragwe.
Lakini kwa hili Classmate wangu imekupuruchuka.
Kwani lazima ujue kuwa kazi ya Vyama vya Upinzani ni kuizindua na kuikosoa Serikali iliyopo madarakani kwa nia na madhumuni ya kufanya nchi iende sawia. Kwa hiyo Serikali yoyote iliyo makini ni ile inayochambua kauli za wapinzani na zile wanazoziona zinawakwaza wananchi basi inaweka kipaumbele katika kuzitatua.
Mfano mdogo ni issue ya katiba mpya. hata kule Kenya utaiona upinzani ndio ulioshinikiza na serikali ikakubali na baadae wamepata katiba mpya. Si rahisi kwa Serikali yenyewe na chama chake kutaka katiba mpya sababu kubwa katiba hiyo mara nyingi ina kipendelea chama tawala.
Kwa hiyo Upnzani si dhambi na ni wajibu wao kuikosoa serikali pale inapokosea.
Nyegera waitu
na huyu ndio mshambuliaji wao makini anayefanya zoezi zima la kuvizia au siasa za kuotea,dah jamaa ni hatari sana na huyu si mwingine bali ni dakta Slaa,eti kwa CV hii yote sikuamini umaskini wa karatu uko kiasi kile na huyu mviziaji alikuweko
1. PADRI WA KANISA LA KATOLIKI 1977-1978-1979-1980-1981-1982-1983-1984-1985-1986-1987-1988-1989-1990-1991
2. Mkurugenzi wa maendeleo (Jimbo Katoliki la Mbulu). 1977-1979-1982-1985
3. Katibu Mkuu, Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), 1985-1991
4. Mkurugenzi Mtendaji,chama cha wasioona Tanzania, 1992-1998
5.Mbunge wa Karatu 1995-2010
pamoja na kuotea(off side trick) zote alishindwa kuwaletea neema watu wa karatu,sasa uraisi atauweza? embu kujeni na mbinu mpya dah CDM mnachekesha sana,nasikia Dakta pia ni muoteaji mzurii sana wa mambo flani....teeh
lakini hao wapinzani walipopanga mashambulizi, hoja zao hazikupokelewa kwa lugha hiyo laini ya "kuizindua na kuikosoa serikali iliyopo madarakani" unakumbuka ishu ya katiba mpya ilivyoshika kasi baada ya walk-out ya chadema pale bungeni? Unakumbuka majibu ya akina celina kombani na mwanasheria mkuu? Lakini unakumbuka baadae serikali imekuja na msimamo gani? Kwa hiyo ishu ni pressure na style mbalimbali za mapambano zinavyochezwa na chadema. Hata wewe umelazimika kutoa kauli hii baada ya kutambua kwamba the pressure is great na ishu zinazoongelewa zina mashiko. Serikali ime-bow to pressure, kwa hiyo wa kupongezwa ni hao "wapinzani"
vyama vingine vya upinzani vimepiga kelele weee, sasa navyo vimeanza kuandaa maandamano yao! Taaratibu tutamuona hafifu naye anasema kuumbeee!
Huyu bwana anakaa wapi? hajafanya uchunguzi wa kutosha, anafikra za majitaka,
Nitoka Pujini Pemba, naishi hapa hapa Kariakoo