sukari yao
Senior Member
- Apr 24, 2013
- 140
- 23
Nipo hapa lushoto, nimegundua jambo moja nalo ni mapenzi mazito waliyo nayo watu juu ya Chama kubwa, Chama lao CHADEMA
PEOPLES..................
PEOPLES..................
Yani Nipo Mtwara CDM ni gumzo baada ya CUF kuolewa na ccm
CHADEMA Tuendeleze nguvu ya m4c kichwa kwa kichwa, ukombozi wa pili umewadia kwa mtanzania!
CHADEMA ndo mpango,naona magamba siku hizi kwetu nao wameshaanza kuona aibu ya kuvaa kijani/njano.
Jamani angalia CCM inawauma sana!!
wafe kabisa