Chadema inapendwa balaa!

Chadema inapendwa balaa!

Ni kipindi kizuri kwa sasa katika mchakato wa Katiba Mpya tuangalie upya ajira kwa watoto wadogo kuwatumikisha, hao watoto walitakiwa wawe shuleni huo muda sio kuwatumikisha kwenye siasa. Mkutano wa Mchungaji umejaa watoto wadogo sijui anataka kuwapa ubatizo.
 
kazi ni moja tu:UKOMBOZI WA WENYE MAWAZO FINYU KAMA mama polojo na wenzake.tunajua ni ngumu lkn ni wito na tumeitikia.
 
Magamba hapo BP imepanda kwa 99.99% Rest in everlasting fire.
 
cdm itasambaratika kabla ya mwaka 2015,...kama unabisha subiri utaona.
 
Ingekuwa hivyo kwa nchi nzima ningewakubali lakini kwa siasa za kimajimbo hakuna kitu hapo.
 
Mbona hamumtambulishi kwa profession yake? Huyo ni mchungaji na hao ni waumini wake, nini cha ajabu?
Uchungaji sio proffession wewe. Kwani kuvaa vipendo, kupenda ubwabwa na kufuga midevu ni profession?
 
Wingi wa makamasi sio ukubwa wa pua.

Ukitaka kujuwa wanaopendwa tazama idadi ya wabunge na idadi ya madiwani, sidhani kama magwanda wana hata robo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom