acha pombe..Kweli akiri makalioni. serikali haifanyi hayo kuua chadema ni sehemu ya kazi yao na posho zinaliwa na hao ccm unao wasema wapo madarakani wewe upo mtaani hayo matumizi ya fedha ni kodi yako na wajomba zako, hao askari wanalipwa posho maisha yanaenda ulie tangaza ukuta ni wewe uliye ahirisha ni wewe nani mwenye hasara. Chadema ya kuhurumiwa kwa akiri kama hizi yaani mpaka sasa hamjui aliye watangazia ukuta alikuwa anatishia serikali isimdai kodi bdo aka kwama mtaburuzwa na mbowe mpaka mkome.
ChademaNani kakushika mkono?
Jamaa amekusudia kuisambaratisha ccmSerikali inatafunwa na siasa mbovu badala ya kutumikia wananchi.
Cdm wana endesha sherikali?Chadema
Hapana wanasababisha mda mwingi upotee kwa kuwashika na kuwapeleka kortini.Cdm wana endesha sherikali?
Tuhuma za kujihusisha na madawa ya kulevya....zimewafanya mashabiki wake kumkimbia. Wewe huoni hata 'Cabinet ya mama ongea na mwano' ilizima simu ili wasijihusishe naye(Wema) kipindi cha sekeseke.!? (rejea briefing ya stivu supersta leo).nani kwa kwambia kura wanapiga malaika. wafuasi wa wema sepetu ndio wapifa kura, 2015 wema sepetu ameisaidia sana ccm kwa kuwashawishi wafuasi wake wampigie magufuli. hili tetemeko tumelileta wenyewe ccm na lazima lipasue misingi ya Lumumba. nasikia kunatokota baada ya kuonekana mamluki wa mkubwa wanataka kuchukua chama.
Ndio kutekeleza ilani za ccm hukoHapana wanasababisha mda mwingi upotee kwa kuwashika na kuwapeleka kortini.
Ole wenu mvunje viti...! Ila mbona ni wachache sana!?View attachment 474375View attachment 474376View attachment 474377
Baada ya kusikia lowassa Leo anatia timu uwanja wa taifa.. haaaaa
Kagoma kuidhinisha posho za watu wake kuzunguka huko na huko ili kujibu mashambulizi. Eti kuna haja gani wakati mapolisi wapoUmenikumbusha wakati wa J.K aliwatuma Nape na Kinana nao watoke wakajibu siasa za chadema majukwaani. Lakini yeye hajui siasa anatumia nguvu za dola
Upinzani dhaifu? Hebu nipe majibu ya pambano kwenye sanduku la kura kati ya upinzani na CCM bila polisi, jeshi, tume ya uchaguzi, wakurugenzi wa Wilaya, usalama wa taifa na msajili wa vyama.Tunaipenda CCM sio kwa Ubora au utendaji wake Bali kwa udhaifu wa Wapinzani
Upinzani dhaifu? Hebu nipe majibu ya pambano kwenye sanduku la kura kati ya upinzani na CCM bila polisi, jeshi, tume ya uchaguzi, wakurugenzi wa Wilaya, usalama wa taifa na msajili wa vyama.
Hizi taasisi ndiyo life support machine inayoiwezesha CCM kupumua, ukizichomoa tu hizo CCM utaifuata mortuary kwenda kuchukua mwili tayari kwa mazishi.
Afu umenikumbusha mbona polepole simsikii siku hizi ila jamaa yule nahisi nafsi inamsuta maana kupigia chapuo ccm iliyosigina rasimu mliyozungukia tz nzima inataka moyo aina ya makonda kwa kweliccm IPI unazungimzia, ccm ilikua ya kina nape, mwigulu, kinana, na yule mzee wa njombe. ccm ya makonda na polepole lazima ife...
Yaani katika uchaguzi uliopita ccm ndio walikuwa wanatetea viti vyao na ni kiti kimoja tu vyama vya upinzani vilipoteza kwahiyo isikupatie shida ccm kuanguka haina mjadala.N
Mani ahangaike na chama kilichojifia kimebaki kinasubilia makapi ya ccm. Subilini 2020 mtakabobakiwa na wabunge watatu bungeni ndo mtajua wananchi wamewachoka kwa matusi na maigizo yenu. Hamjajifunza tu 23/1