ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
- Thread starter
- #61
mm huwa nashiriki ktk kuandaa katiba za vyama na makampuni, ninajua huwa inawekwa open handed clause ili kujumuisha masuala ambayo hayakutajwa moja kwa moja ktk Katiba. kipengele hicho huwezesha kampuni/chama kufanya jambo lolote hata kama halijatajwa katika katiba ilimradi tu jambo hilo lina lengo la kuleta faida kwa chama/kampuni husika. Hivyo ninachosema nina uhakika nacho ndio maana nimeomba u-attach katiba ya sasa ya cdm ili tuipitie tuone endapo haina vipengele/kipengele cha jinsi hiyo. mm ninayekuleza ni mtaalamu katika masuala haya ndiyo maana nimeomba nakala ya katiba nikijua nikiiipata nitafungua eneo gani ambalo huwa tunaweka katika uandishi wa katiba.
natumai nimeeleweka vizuri
Kabla hujabisha unatakiwa kwanza uitafute katika inayojadiliwa uisome, halafu uje na hiyo clause inayoruhusu. Ukitumia nadharia kuna siku utafungwa kwa kosa lisilokuhusu, kwa kutetea mambo usiyojua undani wake.