mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 253
Jamani acheni ushabiki na uzandiki....huyo diwani kama binadamu wa kawaida amefanya makosa..kama kweli hakuwa akimiliki kihalali silaha hiyo....TATIZO hapa mi naona SIASA....Watu wanahukumu chama CDM kuwa kinamiliki silaha!!! Je Silaha hiyo ilikutwa ofisi za chadema? Au ni Gilba tu za kisiasa za huyu mdau? kwa mtizamo wangu ,umiliki wake wa silaha hauna mahusiano kabisa na udiwani wake!!! MIMI NINACHOONA HAPA WATU WAMEKOZA NAMNA YA KUIDHOOFISHA CDM WANAAMUA KUPITIA NJIA ZA PANYA!!!!!!!!!!!!!!!! NDIO MAANA TUKIO HILI LIMEKUJA WAKATI WAKIJIVUA MAGAMBA!!!