CHADEMA inachanganya

CHADEMA inachanganya

Jiongelee ww na maisha yako hii nchi inakusaidia nn kukuwezesha uendelee na maisha yako kiafya,kiuchumi kimiundo mbinu nicca b lik f* Btch ass nigga!

Mnajulikana kwa kutukana,ndio maana post 4 tu matusi tele.
We nani atakutafutia maisha kama hujitumi mwenyewe,we umeona wapi nchi inamfanyia mtu bila yeye mwenyewe kwanza kujitafutia maisha then ndio maendeleo ya nchi yapatikane kwake.
Au ndio kujidanganya kwamba kuna viongozi wataleta nchi ya mito ya maziwa na asali na nyie kushangilia,maana hata mtoto wa Nursery lazima atabisha ila inashangaza mtu mzima kushabikia uzuzu huu.
 
Chama Ni Kazi Yangu,raia Ni Familia Yangu,sina Mda Na Chama Chochote,kwa Siku Lazima Niingize 70000, Sina Muda Wa Kuongea Mambo Ya Vyama,kwasasa Najenga Shule Yangu Mwenyewe
 
Mnajulikana kwa kutukana,ndio maana post 4 tu matusi tele.
We nani atakutafutia maisha kama hujitumi mwenyewe,we umeona wapi nchi inamfanyia mtu bila yeye mwenyewe kwanza kujitafutia maisha then ndio maendeleo ya nchi yapatikane kwake.
Au ndio kujidanganya kwamba kuna viongozi wataleta nchi ya mito ya maziwa na asali na nyie kushangilia,maana hata mtoto wa Nursery lazima atabisha ila inashangaza mtu mzima kushabikia uzuzu huu.

Hujajibu swali umezidi kuongea uozo kabisa ivo elim yako ni? cuzz am nt ccm, chadema am meee n' I dn't give f* abt no chama
 
Jamani jamani chadema sio kabisa ni chama cha kimatapeli, vurugu zilizojaa ugomvi, malumbano/mzozano bila faida, ubinafsi, chuki bila sababu na mengineyo maana hata hapa Moshi wako hivyo hivyo ni shidaaaaa tuuuuupuuuuuuuu.
 
Hiki chama cha Chadema kinanichanganya akili sana. Nakumbuka kauli za Chadema kwa wananchi kipindi cha uchaguzi kuwa wakomae mpaka kieleweke. Sasa mimi nauliza kuwa ni kwa nini wao wanashindwa kukomaa ndani ya Bunge mpaka kieleweke badala ya kutoka nje? Ama hiyo kauli yao huwa inamaanisha nini kama wao hawataki kukomaa mpaka kieleweke?? Ama wanataka hiyo kauli itumike kwa wananchi tu lakini sio kwao?

Ndo wanakomaa sasa
 
Tuongee tu ukweli tuache mambo ya ushabiki kuwa mimi ni Chadema, Ccm, Cuf n.k bali ukweli uliowazi ni kwamba hawajafanya poa. Sishabikii chama chochote katika hili japokuwa sijafurahishwa na tabia yao hiyo Maana wamesau kilichowapeleka bungeni.
 
Kutoka njee pia yaweza kuwa ni kokomaa mpaka kieleweke.
 
Mi bado sijaafiki wao kutoka nje..huko nje tutawasaidiaje cc wananchi?au tutabaki kulialia wote huko nje bila msda
 
Mende unasikia harufu ya mavi au??

Yawezekana wewe ndo walewale wanaoshabikia ujinga pasipo kujijua elimika usiongee tu ama kitendo hicho ni kibaya then wewe unashibikia. Try to know the meaning of the topic na kama ni harufu imekujaa wewe.
 
Tatizo watu wengiwao wanategemea kuletewa tu
Pambana wewe mwenyewe na waswahili wanasema akili za kuambiwa changanya na za kwako
 
Watu wako kimaslah zaidi.Kutoka nje mara kwa mara,siku za kukaa bungeni zinaongezeka wao wanapiga hela.Mchepuko noma baki njia kuu.
 
Chadema isipojipanga vizuri itapigwa chini hata na cuf 2015 maana mambo yao hayaendi inavyotakiwa kwa sababu wametanguliza ukorofi, fujo na malumbano kila kukicha na kusababisha baadhi ya wanachadema kuhamia CCM jambo ambalo linakuwa pigo kwao. Vyama vingine viko poa sana lakini CHADEMA hapana.
 
Mende naona upo toilenga??
 

Attachments

  • 1399535198358.jpg
    1399535198358.jpg
    11.8 KB · Views: 86
Mende naona upo toilenga??

CCM maana yake ni Chukua Chako Mapema. Tatizo la Chadema ni vurugu nyingi ndo maana wanachama wao wanahamia CCM. Lakini kama wangejipanga vizuri na kuwa watulivu 2015 tungekuwa na mategemeo makubwa kuwa CHADEMA itashida ila sasa vurugu zao ndo zinawaogopesha wananchi.
 
Back
Top Bottom