CHADEMA inachanganya

CHADEMA inachanganya

mende 2014

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2014
Posts
763
Reaction score
131
Hiki chama cha Chadema kinanichanganya akili sana. Nakumbuka kauli za Chadema kwa wananchi kipindi cha uchaguzi kuwa wakomae mpaka kieleweke. Sasa mimi nauliza kuwa ni kwa nini wao wanashindwa kukomaa ndani ya Bunge mpaka kieleweke badala ya kutoka nje? Ama hiyo kauli yao huwa inamaanisha nini kama wao hawataki kukomaa mpaka kieleweke?? Ama wanataka hiyo kauli itumike kwa wananchi tu lakini sio kwao?
 
Hiki chama cha Chadema kinanichanganya akili sana. Nakumbuka kauli za Chadema kwa wananchi kipindi cha uchaguzi kuwa wakomae mpaka kieleweke. Sasa mimi nauliza kuwa ni kwa nini wao wanashindwa kukomaa ndani ya Bunge mpaka kieleweke badala ya kutoka nje? Ama hiyo kauli yao huwa inamaanisha nini kama wao hawataki kukomaa mpaka kieleweke?? Ama wanataka hiyo kauli itumike kwa wananchi tu lakini sio kwao?
wewe unaelewa vipi kukamatakukamata
 
Kwa kweli hata mimi hawa chadema naona wamekoswa mwelekeo maana ni watu wa kuvuruga tu lakini sio kujenga. Kiujumla wamebaha.
 
Hiki chama cha Chadema kinanichanganya akili sana. Nakumbuka kauli za Chadema kwa wananchi kipindi cha uchaguzi kuwa wakomae mpaka kieleweke. Sasa mimi nauliza kuwa ni kwa nini wao wanashindwa kukomaa ndani ya Bunge mpaka kieleweke badala ya kutoka nje? Ama hiyo kauli yao huwa inamaanisha nini kama wao hawataki kukomaa mpaka kieleweke?? Ama wanataka hiyo kauli itumike kwa wananchi tu lakini sio kwao?
ujinga ,wingine bwana ,na wewe utajiita great thinker! Umekopy maneno na mjumbe wa bmk mwana dada asiye jitambua kama wewe.
 
Karibia falsafa zote za CHADEMA ni za kitapeli, kuna ile moja "DHAMBI MBAYA KULIKO ZOTE NI UOGA" , sote huwa tunashuhudia kikitokea cha kutokea jinsi Makamanda wanavyolala mbele, sio viongozi sio wafuasi, wote lao moja.
Lema alianzisha fujo pale Chuo cha uhasibu Arusha, mambo yalipoharibika alikimbia na kuacha VX lake. Pale SOWETO bomu liliporushwa LEMA na MBOWE hawakujulikana walipopita. hiyo ni mifano michache tu! CHADEMA HAWAAMINIKI!
 
wote ni wale wale tu, hii nchi haitakuja kupata mkombozi wa kweli kama sio sisi wenyewe wananchi kubadilika...si chadema, cuf wala nccr mageuzi ambao wataleta mabadiliko.
 
Watu wamieshakamata milioni kadhaa za walipa kodi,unategemea watakaa.
Wakitaka tuandamane waje nazo kwanza hizo pesa au wavamie Hospitali moja wa wazee wasiojiweza watoe sadaka.

We angalia katika wote walioongea halafu angalie uelewa wa Zito kabwe,utajua kwamba kuna wananjaa,wanafujo na kuna wanasiasa.Nakubalinana jama mmoja hapa aliesema Zito ndio Engine ya Cdm(Chukua Dem Mapema).

Leo JK ndio kamaliza kabisaaa
 
Karibia falsafa zote za CHADEMA ni za kitapeli, kuna ile moja "DHAMBI MBAYA KULIKO ZOTE NI UOGA" , sote huwa tunashuhudia kikitokea cha kutokea jinsi Makamanda wanavyolala mbele, sio viongozi sio wafuasi, wote lao moja.
Lema alianzisha fujo pale Chuo cha uhasibu Arusha, mambo yalipoharibika alikimbia na kuacha VX lake. Pale SOWETO bomu liliporushwa LEMA na MBOWE hawakujulikana walipopita. hiyo ni mifano michache tu! CHADEMA HAWAAMINIKI!

Jiongelee ww na maisha yako hii nchi inakusaidia nn kukuwezesha uendelee na maisha yako kiafya,kiuchumi kimiundo mbinu nicca b lik f* Btch ass nigga!
 
Hiki chama cha Chadema kinanichanganya akili sana. Nakumbuka kauli za Chadema kwa wananchi kipindi cha uchaguzi kuwa wakomae mpaka kieleweke. Sasa mimi nauliza kuwa ni kwa nini wao wanashindwa kukomaa ndani ya Bunge mpaka kieleweke badala ya kutoka nje? Ama hiyo kauli yao huwa inamaanisha nini kama wao hawataki kukomaa mpaka kieleweke?? Ama wanataka hiyo kauli itumike kwa wananchi tu lakini sio kwao?

bwabwa hili linataka kuliwa
 
CDM ni watu ama wamelukwa na akili au wanakaribia kuwa vichaa!!
 
Karibia falsafa zote za CHADEMA ni za kitapeli, kuna ile moja "DHAMBI MBAYA KULIKO ZOTE NI UOGA" , sote huwa tunashuhudia kikitokea cha kutokea jinsi Makamanda wanavyolala mbele, sio viongozi sio wafuasi, wote lao moja.
Lema alianzisha fujo pale Chuo cha uhasibu Arusha, mambo yalipoharibika alikimbia na kuacha VX lake. Pale SOWETO bomu liliporushwa LEMA na MBOWE hawakujulikana walipopita. hiyo ni mifano michache tu! CHADEMA HAWAAMINIKI!
Msalani umemuona mpangaji wako Mende..
 
Back
Top Bottom