Jiungeni na CHAMA CHA KIGOMA CHAUMMA mnalia lia nini? ZITTO na Kafulila walishaanzisha CHAMA na kumpa Mkigoma Mwenzao si mjiunge?!! Ili muone kuwa kwa unafiki wenu kinaishia KIGOMA?Hivi ni kambi îpi inawafurahisha na kuwanufaisha CCM zaidi?
Lema na kamati ya CC wanaona bora waikose Ikulu kuliko kumwachia nafasi Zitto anayetuhumiwa kukihujum chama.
Na kwa upande wa Zitto na tuhuma zake zote zinazoelekezwa kwake, tuchukulie kuwa ni za kweli 100 percent.
Je nani anainufaisha CCM?
Na wewe ni mwana CCM? Akigombea Lowasa 2015 utabaki huko? Au utaondoka na JK?CCM haina time na chuki binafsi za viongozi wa Chadema...
Bab povu la nini?? my statement is so neutral....Is there any problem kuwa junior? wewe ni babu JF what have u done so far?
mzimu wa zitto unakiua chadema.
Mkuu time will tell lakini tunatakiwa kuzuia mabaya yasitokee CHADEMA wengi mnapuuzia kila anaetofautiana mawazo na Mbowe, Slaa na wengine imekuwa wimbo kuitwa mhaini, traitor, masalia, msaliti... Tutumie akili zetu dont let your mind to be under their control, tumia utashi wako na uwe huru wa mawazo... As i said time will tell kwa sasa porojo nyingi lakini athari itaonekana next year unless the differences btn ZITTO and the top leaders are settled
Yote yatajidhihirisha kwenye chaguz mbalimbali zijazo, chadema tulikipenda sana lakini ukabira, ukanda, uroho wa madaraka na kung'ang'ania uongozi unakisambaratisha ndo maana magamba wanakata mbuga kuongea na wananchi wakati chadema wako busy kuchakachuwa waraka feki ili kushawishi wananchi kuwa kamati kuu ya CDM ilifanya uamzi sahihi kuwafukuza ZITTO. Naumia sana maana ndoto za kuondoa mafisadi naona zinayeyuka, niliamini 2015 magamba watakiona cha mtemakuni sasa ndoto zinayeyuka taratibu, uamzi huu utakipasua chadema vipande vipande na tunaanza kuona matokeo yake kwa baadhi ya viongozi kujiuzuru na wengine kuhama chama.
Kwa kifupi nasikia hata Dr Slaa ni msaliti kwani bado ana kadi ya CCM chama dume
Wewe mwanachadema gani usiejua utaratibu wa chama chetu?
Ni marufuku kukosoa chama hata kama kuna ukweli,tukijua kadi yako lazima tukufukuze wewe utakuwa gamba tu,