kaka mkweli
Member
- Sep 24, 2012
- 62
- 28
Pole wewe uliyekuwa unajua CHADEMA ni chama ile ni kampuni mwenye hisa nyingi ndio CEO anaamua uelekeo wa kampuni
Naona mbowe anakuumiza kweli kweliIn summary.... #MboweMustGo!
Hivi unalipwa sh ngapi na lumumba kwa kuongelea cdm kila dakika? Punguza njaa hiyo weweNa hilo ndo litaokoa chama
Wewe ndiye unatumikia buku 2 za lumumbaSawa mwanachama wa posho maana we kila asemacho mbowe ni ndio
Hakuna mtu kama wewe kwenye hili jukwaahizi ndio akili za kijinga mlizolishwa. mtu anazungumza hali halisi wewe unaleta porojo. au hivi ndivyo mlivyofundishwa. hakika kwa mawazo haya ikulu mtaisikia ndotoni. msidhani wananchi ni mambumbumbu wa kubaini uozo na ulaji pesa unaofanywa na baadhi ya viongozi. shutuma zinatolewa mnataka kufichaficha. sasa baada ya kuficha what next.
Hakuna mwenye hamu na wewe mfanya biashara wa usikuMajizi Chadema sina hamu nao
Ukikosa hoja unaishia kutukana pole sana maana zaid ya kuzungusha mikono hakuna kingine ujuachoHakuna mtu mjinga kama wewe kwenye hili jukwaa
Hakuna mwenye hamu na wewe mfanya biashara wa usiku
SanaMkuu ni wengi muno wamekata tamaa
Tulilelewa katika misingi ya upambanaji kwa kila hali hata kama ni kupoteza maisha kwa ajili ya chama tulikuwa tayali.
Nakumbuka 2008 uchaguzi mdogo Tarime nilikamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi na kusafirishwa na baadhi ya vijana tukaswekwa rumande wilaya nyingine (Serengeti) bila mtu yoyote kujua na tulikuja kuachiwa baada ya Uchaguzi
Nakumbuka 2010 pia nililazwA ndani mara nyingi sana kwa ajili ya kukipigania chama.
Nakumbuka yaliyotukuta uchaguzi mdogo kule Tabora naumia sana
Nikikumbuka tukio la Arusha ingawa sikuwepo ila wenzetu walipoteza maisha
Hivyo ndivyo tulivyojengwa kukipambania chama kwa kila namna bila kusita huku tukiongozwa na Slaa na kamwe hatukurudi nyuma
Inauma sana leo mtu from nowhere asiyejua dam ngap za wanachama zimepotea na watu wangap ni vilema wengine wamepoteza mpk mali zao kwa ajili ya chama aje na kuanza kuwa mwamuzi mkuu wa chama.
Eti kuanzia sasa sisi sio chama cha wanaharakati!! Hahahaha! Inachekesha na inatia uchungu sana!!
Wengi tulitulia ndani ya chama tukijua akishindwa uchaguzi basi ataondoka akachunge ng'ombe atuachie chama chetu tukifanyie recycling na kukirudisha katika misingi ila hajaondoka na amegeuka mmiliki chama
Naanza kuamini Mbowe alimuuzia maana Mbowe hajawahi kaliwa kichwani na mtu yoyote kwenye chama akatulia iweje kwa huyu???
Watatukimbia wengi maana watu hawaoni jipya katika chama, hatuwezi kusimama mbele za watu tukakemea uovu maana muovu ndo mwamuzi mkuu katika chama
Halaf tukisema tunahama mnatuita wasaliti!!!! Nani msaliti kati yetu na Mbowe???
Tunaitaka CHADEMA ASILI yetu irudi hiki sio chama cha mtu mmoja bali cha wanachi
Utazungusha mikono sana
Na kweli mmekamatwa vibaya tunawonea huruma sana ila nahc akili zenu nazo sasa ziko mikononi mwa dj ILA HAMJACHELEWA RUDINI KUNDINI zile mbinu 97 alizozisemea mzee kingunge kuwa zimebaki ccm iendele kutawala ndo bado zinawaumbua poleni sana ila kumbukeni kila unapokata tiketi ya kuingia ukumbini kucheza DISCO Mwenye anajua wimbo wa kuchezwa n DJ go on .....................................Mbowe badilisha tena gia angani rudini kundini.Tulilelewa katika misingi ya upambanaji kwa kila hali hata kama ni kupoteza maisha kwa ajili ya chama tulikuwa tayali.
Nakumbuka 2008 uchaguzi mdogo Tarime nilikamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi na kusafirishwa na baadhi ya vijana tukaswekwa rumande wilaya nyingine (Serengeti) bila mtu yoyote kujua na tulikuja kuachiwa baada ya Uchaguzi
Nakumbuka 2010 pia nililazwA ndani mara nyingi sana kwa ajili ya kukipigania chama.
Nakumbuka yaliyotukuta uchaguzi mdogo kule Tabora naumia sana
Nikikumbuka tukio la Arusha ingawa sikuwepo ila wenzetu walipoteza maisha
Hivyo ndivyo tulivyojengwa kukipambania chama kwa kila namna bila kusita huku tukiongozwa na Slaa na kamwe hatukurudi nyuma
Inauma sana leo mtu from nowhere asiyejua dam ngap za wanachama zimepotea na watu wangap ni vilema wengine wamepoteza mpk mali zao kwa ajili ya chama aje na kuanza kuwa mwamuzi mkuu wa chama.
Eti kuanzia sasa sisi sio chama cha wanaharakati!! Hahahaha! Inachekesha na inatia uchungu sana!!
Wengi tulitulia ndani ya chama tukijua akishindwa uchaguzi basi ataondoka akachunge ng'ombe atuachie chama chetu tukifanyie recycling na kukirudisha katika misingi ila hajaondoka na amegeuka mmiliki chama
Naanza kuamini Mbowe alimuuzia maana Mbowe hajawahi kaliwa kichwani na mtu yoyote kwenye chama akatulia iweje kwa huyu???
Watatukimbia wengi maana watu hawaoni jipya katika chama, hatuwezi kusimama mbele za watu tukakemea uovu maana muovu ndo mwamuzi mkuu katika chama
Halaf tukisema tunahama mnatuita wasaliti!!!! Nani msaliti kati yetu na Mbowe???
Tunaitaka CHADEMA ASILI yetu irudi hiki sio chama cha mtu mmoja bali cha wanachi