CHADEMA imetusaliti wengi

CHADEMA imetusaliti wengi

Cdm ni chama cha maamuzi ya dj mbowe na babu ndugai
 
Tulilelewa katika misingi ya upambanaji kwa kila hali hata kama ni kupoteza maisha kwa ajili ya chama tulikuwa tayali.

Nakumbuka 2008 uchaguzi mdogo Tarime nilikamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi na kusafirishwa na baadhi ya vijana tukaswekwa rumande wilaya nyingine (Serengeti) bila mtu yoyote kujua na tulikuja kuachiwa baada ya Uchaguzi

Nakumbuka 2010 pia nililazwA ndani mara nyingi sana kwa ajili ya kukipigania chama.

Nakumbuka yaliyotukuta uchaguzi mdogo kule Tabora naumia sana

Nikikumbuka tukio la Arusha ingawa sikuwepo ila wenzetu walipoteza maisha

Hivyo ndivyo tulivyojengwa kukipambania chama kwa kila namna bila kusita huku tukiongozwa na Slaa na kamwe hatukurudi nyuma

Inauma sana leo mtu from nowhere asiyejua dam ngap za wanachama zimepotea na watu wangap ni vilema wengine wamepoteza mpk mali zao kwa ajili ya chama aje na kuanza kuwa mwamuzi mkuu wa chama.

Eti kuanzia sasa sisi sio chama cha wanaharakati!! Hahahaha! Inachekesha na inatia uchungu sana!!

Wengi tulitulia ndani ya chama tukijua akishindwa uchaguzi basi ataondoka akachunge ng'ombe atuachie chama chetu tukifanyie recycling na kukirudisha katika misingi ila hajaondoka na amegeuka mmiliki chama

Naanza kuamini Mbowe alimuuzia maana Mbowe hajawahi kaliwa kichwani na mtu yoyote kwenye chama akatulia iweje kwa huyu???

Watatukimbia wengi maana watu hawaoni jipya katika chama, hatuwezi kusimama mbele za watu tukakemea uovu maana muovu ndo mwamuzi mkuu katika chama

Halaf tukisema tunahama mnatuita wasaliti!!!! Nani msaliti kati yetu na Mbowe???

Tunaitaka CHADEMA ASILI yetu irudi hiki sio chama cha mtu mmoja bali cha wanachi
Kama imekusaliti hama chama yanini unaanzisha uzi kuhusu cdm kila siku?
 
Tulilelewa katika misingi ya upambanaji kwa kila hali hata kama ni kupoteza maisha kwa ajili ya chama tulikuwa tayali.

Nakumbuka 2008 uchaguzi mdogo Tarime nilikamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi na kusafirishwa na baadhi ya vijana tukaswekwa rumande wilaya nyingine (Serengeti) bila mtu yoyote kujua na tulikuja kuachiwa baada ya Uchaguzi

Nakumbuka 2010 pia nililazwA ndani mara nyingi sana kwa ajili ya kukipigania chama.

Nakumbuka yaliyotukuta uchaguzi mdogo kule Tabora naumia sana

Nikikumbuka tukio la Arusha ingawa sikuwepo ila wenzetu walipoteza maisha

Hivyo ndivyo tulivyojengwa kukipambania chama kwa kila namna bila kusita huku tukiongozwa na Slaa na kamwe hatukurudi nyuma

Inauma sana leo mtu from nowhere asiyejua dam ngap za wanachama zimepotea na watu wangap ni vilema wengine wamepoteza mpk mali zao kwa ajili ya chama aje na kuanza kuwa mwamuzi mkuu wa chama.

Eti kuanzia sasa sisi sio chama cha wanaharakati!! Hahahaha! Inachekesha na inatia uchungu sana!!

Wengi tulitulia ndani ya chama tukijua akishindwa uchaguzi basi ataondoka akachunge ng'ombe atuachie chama chetu tukifanyie recycling na kukirudisha katika misingi ila hajaondoka na amegeuka mmiliki chama

Naanza kuamini Mbowe alimuuzia maana Mbowe hajawahi kaliwa kichwani na mtu yoyote kwenye chama akatulia iweje kwa huyu???

Watatukimbia wengi maana watu hawaoni jipya katika chama, hatuwezi kusimama mbele za watu tukakemea uovu maana muovu ndo mwamuzi mkuu katika chama

Halaf tukisema tunahama mnatuita wasaliti!!!! Nani msaliti kati yetu na Mbowe???

Tunaitaka CHADEMA ASILI yetu irudi hiki sio chama cha mtu mmoja bali cha wanachi
we mpendazpe si umeikatika mkia yanini kulia lia we endelea tuk uwalamba viatu magamba
 
Tulilelewa katika misingi ya upambanaji kwa kila hali hata kama ni kupoteza maisha kwa ajili ya chama tulikuwa tayali.

Nakumbuka 2008 uchaguzi mdogo Tarime nilikamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi na kusafirishwa na baadhi ya vijana tukaswekwa rumande wilaya nyingine (Serengeti) bila mtu yoyote kujua na tulikuja kuachiwa baada ya Uchaguzi

Nakumbuka 2010 pia nililazwA ndani mara nyingi sana kwa ajili ya kukipigania chama.

Nakumbuka yaliyotukuta uchaguzi mdogo kule Tabora naumia sana

Nikikumbuka tukio la Arusha ingawa sikuwepo ila wenzetu walipoteza maisha

Hivyo ndivyo tulivyojengwa kukipambania chama kwa kila namna bila kusita huku tukiongozwa na Slaa na kamwe hatukurudi nyuma

Inauma sana leo mtu from nowhere asiyejua dam ngap za wanachama zimepotea na watu wangap ni vilema wengine wamepoteza mpk mali zao kwa ajili ya chama aje na kuanza kuwa mwamuzi mkuu wa chama.

Eti kuanzia sasa sisi sio chama cha wanaharakati!! Hahahaha! Inachekesha na inatia uchungu sana!!

Wengi tulitulia ndani ya chama tukijua akishindwa uchaguzi basi ataondoka akachunge ng'ombe atuachie chama chetu tukifanyie recycling na kukirudisha katika misingi ila hajaondoka na amegeuka mmiliki chama

Naanza kuamini Mbowe alimuuzia maana Mbowe hajawahi kaliwa kichwani na mtu yoyote kwenye chama akatulia iweje kwa huyu???

Watatukimbia wengi maana watu hawaoni jipya katika chama, hatuwezi kusimama mbele za watu tukakemea uovu maana muovu ndo mwamuzi mkuu katika chama

Halaf tukisema tunahama mnatuita wasaliti!!!! Nani msaliti kati yetu na Mbowe???

Tunaitaka CHADEMA ASILI yetu irudi hiki sio chama cha mtu mmoja bali cha wanachi
Kwa hiyo wewe ndio unataka uwe mgombea urais wa Chadema?
 
Tulilelewa katika misingi ya upambanaji kwa kila hali hata kama ni kupoteza maisha kwa ajili ya chama tulikuwa tayali.

Nakumbuka 2008 uchaguzi mdogo Tarime nilikamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi na kusafirishwa na baadhi ya vijana tukaswekwa rumande wilaya nyingine (Serengeti) bila mtu yoyote kujua na tulikuja kuachiwa baada ya Uchaguzi

Nakumbuka 2010 pia nililazwA ndani mara nyingi sana kwa ajili ya kukipigania chama.

Nakumbuka yaliyotukuta uchaguzi mdogo kule Tabora naumia sana

Nikikumbuka tukio la Arusha ingawa sikuwepo ila wenzetu walipoteza maisha

Hivyo ndivyo tulivyojengwa kukipambania chama kwa kila namna bila kusita huku tukiongozwa na Slaa na kamwe hatukurudi nyuma

Inauma sana leo mtu from nowhere asiyejua dam ngap za wanachama zimepotea na watu wangap ni vilema wengine wamepoteza mpk mali zao kwa ajili ya chama aje na kuanza kuwa mwamuzi mkuu wa chama.

Eti kuanzia sasa sisi sio chama cha wanaharakati!! Hahahaha! Inachekesha na inatia uchungu sana!!

Wengi tulitulia ndani ya chama tukijua akishindwa uchaguzi basi ataondoka akachunge ng'ombe atuachie chama chetu tukifanyie recycling na kukirudisha katika misingi ila hajaondoka na amegeuka mmiliki chama

Naanza kuamini Mbowe alimuuzia maana Mbowe hajawahi kaliwa kichwani na mtu yoyote kwenye chama akatulia iweje kwa huyu???

Watatukimbia wengi maana watu hawaoni jipya katika chama, hatuwezi kusimama mbele za watu tukakemea uovu maana muovu ndo mwamuzi mkuu katika chama

Halaf tukisema tunahama mnatuita wasaliti!!!! Nani msaliti kati yetu na Mbowe???

Tunaitaka CHADEMA ASILI yetu irudi hiki sio chama cha mtu mmoja bali cha wanachi
Tumekuchoka!!
 
Mtandao uliotoka CCM utawamiza sana. Mlidhani mmepata kumbe mmepatikana. Kwanza Ni BUBU. pili dhaifu sana. Anaogopa Rumande au virungu.
 
Kimeuzwa?? Nani ana mkataba wa mauzianoau risiti aletr hapa tuamini...? Alaf sio kukipigania chama , ni kupigania haki za watanzania...
 
Back
Top Bottom