Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Mkuu huyu Kiazi hata hao MACCM hawamtambui. ndio maana kutwa anaacha number ya simu wamtumie bando.Kwa hiyo unahitaji kuona mbinu ile ile ya kulinda kura itumike watu waumie na kufa ndio furaha yako..
Adui yetu ni CCM sio CDM, sasa wewe uko bize kupambana na CDM hapa jibu ni jepesi na wewe ni CCM..