TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,742
Kimeonekana ni chama cha vurugu, vitisho na uchochezi. Watanzania kwa asili yao ya ustaarabu amani na upend- wamegundua kuwa hili ni genge la wavunja amani, waporaji na wamwaga damu ya watanzania wasio na hatia...wamekipuuza
Mkuu huo, ndiyo ukweli, ila sasa subiri vijana wa SLAA wakutukane.