CHADEMA imekwisha!

CHADEMA imekwisha!

Lissu bungeni anasema kuwa suala la hati ya muungano limekwisha yaani amekubali kushindwa!Lakini baada ya hapo mwanasheria huyu akachemsha.

Anasema muungano unawaonyesha waasisi wawili tu yaani Mwl.Nyerere na Mzee Karume huku ukiacha kuwatambua watu muhimu walioshiriki kuunda muungano kama vile Oscar Kambona,Job Lusinde,Hanga na Othman Sharrif.

Watanzania waambiwe ukweli wa kwanini watu hawa wamekuwa sidelined wakati mchango wao ulikuwa mkubwa.Bwana Lissu toa kwanza kibanzi kilichopo machoni pako kabla ya kutoa vibanzi vilivyopo kwenye macho ya wenzio.

Mbele ya safari masuala hayo hayo ya kuwa sideline watu yatakuja kuwaandama wote mnaowanyonga kisiasa vijana wenzenu wa Chadema kina Zitto Zubeir Kabwe,Habib Mchange,Dkt.Kitilla Mkumbo na Samson Mwigamba huku wakiwa wametoa mchango mkubwa sana kwenye chama cha Chadema na kwenye Taifa.

Badala ya kujenga mshikamano ndani ya chama cha Chadema,mnakimbilia kujenga mshikamano na vyama ambavyo havina hata nguvu ya kisiasa nchini!Yetu macho!

Chadema pale ilipofikia ilikuwa haihitaji CUF au NCCR kupata nguvu, ilitosha kabisa wakasonga mbele na kufikia lengo

wameongozwa na majungu, wivu, unafiki, fitina na uzushi. wamefikia mafanikio waliyoshindwa kuyabeba na kuendelez

Brand name, charter la chadema, au umaarufu wa chadema kipindi hicho ulitosha kabisa kuwaondoa CCM madarakani

wakabweteka, wakashauriwa hawakusikia, wakawapa vichwa viongozi wao ambao hawashauriki; sasa yanatokea haya ya kutokea kwa aibu kubwa na huzuni wamefika hapa

UKAWA automatically inaiua chadema, CUF na NCCR...brand name na power za hivi vyama zinapungua, huku muungano wenyewe ukitawaliwa na historia ya kudharauliana, kutukanana, na kejeli ambazo bado hazijafutwa

Kinachoonekana ni kuwa hawa wana tamaa ya madaraka tu!!! kulifuta hili gumu sana

Chadema bado wana chance ya kubadilika na kurudi walikotoka, watatue matatizo yao amicably, it is possible

Rekebisha sentesi.
Ni chadema au ukawa?
Maana siku hz mnatuchanganya sana.
Mara ukawa inatisha, ooh mara chadema inatisha.
Sa tumshike nani tumuache nani?

Dhambi waliyomtendea zitto na wenzake itawatafuna tu kuja kwa ukawa ni njia wanayoitafuta ili cdm ipate huruma ya watz kupitia migongo ya vyama vingine.

CDM ni kama popo. Hajulikani kama popo ni ndege au mnyama.

Povu mbona lakutoka kumtetea Lissu ? Lissu ni kama kuku wa kuchora hafai kwa nyama, hawiki, hatagi mayai nk

Lisu ni tatizo kubwa sana kwenye jamii hii ya watanzania anapaswa kulaaniwa na wote wapenda amani na mshikamano.

Mabomu atupe Lema na mbowe halafu wasingiziwe wengine we akili yako ipoje bana.

Hayo mashudu yote hayajaandikwa na huyu mshikaji hapa chini?

hqdefault.jpg
 
Utabiri wa Wasira tayari. Siku hizi kwenye mikutano huwezi kusikia peeopples power wala chadema. Unasikia UKAWA tu. Ukawa yenyewe imejikita katika matusi na kejeli vitu ambavyo waTZ hawana faida navyo. CDM kwisha jitambue jamani. Wasira nooooooooma
 
Lissu bungeni anasema kuwa suala la hati ya muungano limekwisha yaani amekubali kushindwa!Lakini baada ya hapo mwanasheria huyu akachemsha.

Anasema muungano unawaonyesha waasisi wawili tu yaani Mwl.Nyerere na Mzee Karume huku ukiacha kuwatambua watu muhimu walioshiriki kuunda muungano kama vile Oscar Kambona,Job Lusinde,Hanga na Othman Sharrif.

Watanzania waambiwe ukweli wa kwanini watu hawa wamekuwa sidelined wakati mchango wao ulikuwa mkubwa.Bwana Lissu toa kwanza kibanzi kilichopo machoni pako kabla ya kutoa vibanzi vilivyopo kwenye macho ya wenzio.

Mbele ya safari masuala hayo hayo ya kuwa sideline watu yatakuja kuwaandama wote mnaowanyonga kisiasa vijana wenzenu wa Chadema kina Zitto Zubeir Kabwe,Habib Mchange,Dkt.Kitilla Mkumbo na Samson Mwigamba huku wakiwa wametoa mchango mkubwa sana kwenye chama cha Chadema na kwenye Taifa.

Badala ya kujenga mshikamano ndani ya chama cha Chadema,mnakimbilia kujenga mshikamano na vyama ambavyo havina hata nguvu ya kisiasa nchini!Yetu macho!

Kwani nani amesema hao maboss hawakuwa na mchango ndani ya CHADEMA?
 
Back
Top Bottom