CHADEMA imeiteka CCM bila kujua

CHADEMA imeiteka CCM bila kujua

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,706
Inavyoonekana CCM imeamua kutekwa na wanachama wa CHADEMA bila wana CCM wenyewe kujua kinacho endelea.

CCM kwa mara ya kwanza imekosa wanachama genuine , wenye sifa za kiuongozi, imeamua kununua na kuwatangaza kwenye vikao vya juu vya chama, yamkini moja na agenda za vikao vya juu ni usajili ..

Kinacho tokea CCM kimekua chama cha kugawa vyeo badala ya kupanga mikakati ya kuisimamia serikali.

Tofauti ya CHADEMA na CCM inabaki kuwa CHADEMA ni sehemu ya kugawana majukumu na CCM ni club ya kugawana vyeo ( hongo).

Sasa vijana wa CCM jiandaeni, chama kimetekwa , mliokuwa mnasubiri kupata vyeo, mtavisikia wakikabidhiwa BAVICHA.

Chama kimepotea,
 
Inavyo onekana ccm imeamua kutekwa na wanachama wa chadema bila wana ccm wenyewe kujua kinacho endelea.

CCM kwa Mara ya kwanza imekosa wanachama genuine , wenye sifa za kiuongozi, imeamua kununua na kuwatangaza kwenye vikao vya juu vya chama, yamkini moja na agenda za vikao vya juu ni usajiri ..

Kinacho tokea ccm kimekua chama cha kugawa vyeo badala ya kupanga mikakati ya kuisimamia serikali ..

Tofauti ya chadema na ccm inabaki kuwa chadema ni sehemu ya kugawana majukumu na ccm ni club ya kugawana vyeo ( hongo).

Sasa vijana wa ccm jiandaeni, chama kimetekwa , mliokuwa mnasubiri kupata vyeo, mtavisikia wakikabidhiwa bavicha.


Chama kimepotea,
Ni vema kujifariji pindi unapojikuta kila mtu anakukataa.

CDM hamna mtu yoyote yule wa kumlaumu isipokua nyie wenyewe.

Hii ilianza pale tu mliposotea mgomba wenye viwembe 2015. Mmebaki na uchafu wenu na majeraha mmeyapata.

Bado ni chama kikuu cha upinzani na naamini, kukiwa na uongozi bora, mtarudia hadhi yenu ya pale awali.

Tunahitaji upinzani mkali ili tuendelee kama nchi. Mlifikia kiwango hicho lakini mnajua wenyewe kilichowaporomosha.

Fanyeni maamuzi magumu ndani ya chama ili kugeuza muelekeo wake. Badilisheni gia mkiwa aridhini (sio angani). Wekeni rivasi mrudi kwenye ule uelekeo uliopendwa na wengi.

Ushauri wa bure huo.
 
Ni vema kujifariji pindi unapojikuta kila mtu anakukataa.

CDM hamna mtu yoyote yule wa kumlaumu isipokua nyie wenyewe.

Hii ilianza pale tu mliposotea mgomba wenye viwembe 2015. Mmebaki na uchafu wenu na majeraha mmeyapata.

Bado ni chama kikuu cha upinzani na naamini, kukiwa na uongozi bora, mtarudia hadhi yenu ya pale awali.

Tunahitaji upinzani mkali ili tuendelee kama nchi. Mlifikia kiwango hicho lakini mnajua wenyewe kilichowaporomosha.

Fanyeni maamuzi magumu ndani ya chama ili kugeuza muelekeo wake. Badilisheni gia mkiwa aridhini (sio angani). Wekeni rivasi mrudi kwenye ule uelekeo uliopendwa na wengi.

Ushauri wa bure huo.
INA maana vijana wa ccm wote makapi, kwanini mtumie fedha kununua vijana wa .chadema. shame..
 
Hapo hata mwenyekiti wa ufipa akisoma ataona unamdanganya.
Dish likishika network vizuri urudie kusoma uzi wako.
 
Sindano itapenyaje kwenye jiwe mzee
ccm mmeishiwa,

Mmetumia police hollaa
Mmezuia mikutano holaaa
Mmenyang'anya mashamba hollaa
Mmebomoa nyumba zetu, hollaa
Mmenunua madiwani, holaaaa
Mmeharibu biashara zetu holaaa,
Mmewateka na kuwaumiza baadhi yetu, holaaa

Watanzania tuna Mungu, na tunamwamini Mungu atatisaidia kumtoa mloloni mweusi chini ya mwavuli wa ccm.
 
INA maana vijana wa ccm wote makapi, kwanini mtumie fedha kununua vijana wa .chadema. shame..
Hakuna anaenunuliwa na CCM. Utitiri wa viongozi na wanachama wa CDM wanapigana vikumbo kuomba kujiunga na CCM.

Kizuri hujiuza mkuu wakati kibaya chajitembeza.
 
Inavyoonekana CCM imeamua kutekwa na wanachama wa CHADEMA bila wana CCM wenyewe kujua kinacho endelea.

CCM kwa mara ya kwanza imekosa wanachama genuine , wenye sifa za kiuongozi, imeamua kununua na kuwatangaza kwenye vikao vya juu vya chama, yamkini moja na agenda za vikao vya juu ni usajili ..

Kinacho tokea CCM kimekua chama cha kugawa vyeo badala ya kupanga mikakati ya kuisimamia serikali.

Tofauti ya CHADEMA na CCM inabaki kuwa CHADEMA ni sehemu ya kugawana majukumu na CCM ni club ya kugawana vyeo ( hongo).

Sasa vijana wa CCM jiandaeni, chama kimetekwa , mliokuwa mnasubiri kupata vyeo, mtavisikia wakikabidhiwa BAVICHA.

Chama kimepotea,
Mkuu unapenda propaganda uchwara sana,ili mradi tu na wewe uandike hata kama ni utumbo?
 
Eti CCM imeimarika kwa kununua wachumia tumbo kwa kuwarubuni na vyeo na mamilioni ya pesa!!!

Sasa CCM imeimarika uchwara aruhusu basi mikutano ya upinzani nchi nzima na awaambie polisiccm waache kuwanyamazisha na kuwadhalilisha wapinzani nchini kisha ahakikishe uchaguzi wa 2020 unakuwa huru na wa haki kupitia katiba mpya ya rasimu ya Warioba na Tume huru ya uchaguzi ili tuone jinsi CCM ilivyoimarika.

Inavyoonekana CCM imeamua kutekwa na wanachama wa CHADEMA bila wana CCM wenyewe kujua kinacho endelea.

CCM kwa mara ya kwanza imekosa wanachama genuine , wenye sifa za kiuongozi, imeamua kununua na kuwatangaza kwenye vikao vya juu vya chama, yamkini moja na agenda za vikao vya juu ni usajili ..

Kinacho tokea CCM kimekua chama cha kugawa vyeo badala ya kupanga mikakati ya kuisimamia serikali.

Tofauti ya CHADEMA na CCM inabaki kuwa CHADEMA ni sehemu ya kugawana majukumu na CCM ni club ya kugawana vyeo ( hongo).

Sasa vijana wa CCM jiandaeni, chama kimetekwa , mliokuwa mnasubiri kupata vyeo, mtavisikia wakikabidhiwa BAVICHA.

Chama kimepotea,
 
Hakuna anaenunuliwa na CCM. Utitiri wa viongozi na wanachama wa CDM wanapigana vikumbo kuomba kujiunga na CCM.

Kuzuri hujiuza mkuu wakati kibaya chajitembeza.
huna lolote, ccm mnakufa, hali ni mbaya, niambie nani hamja mnunua. tena kuna wengine mmewalagai, Mungu awasamehe.
 
Jinsi ulivyoandika tu, inaonesha bado ni mtoto
 
huna lolote, ccm mnakufa, hali ni mbaya, niambie nani hamja mnunua. tena kuna wengine mmewalagai, Mungu awasamehe.
CDM iliwanunua Lowassa, Sumaye, Kingunge, Nyalandu, nk. (wote wakiwa makapi ya CCM) kwa bei gani?

CDM ni chama makini. Uongozi wenu wa sasa ndio ulioshindwa kazi. Badilisheni safu nzima ya ngazi ya juu. What have you got to lose? Sio kama kuna kazi yao ya kufanya ifikapo 2020.

Chuck out these political dinosaurs. Wanakirudisha nyuma chama, ingawaje wengine wana hati miliki.
 
Back
Top Bottom