iArmaniAdamson
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 944
- 289
Baada ya Mwapachu kuondoka, leo ndio nimeamini CDM ile tuliyoijua sio tena.
Yaani hapa zoezi la kupiga kura ni kuondoa CCM A na kuweka CCM B.
Lowassa, Kingunge, Masha, Mwapachu, Sumaye hawa ndio wenye uzoefu lazima waingie kwenye baraza la mawaziri, mtake msitake.
Kweli kwa CCM maisha yataendelea kuwa yale yale. hakuna kilichobadilika.
Yaani hapa zoezi la kupiga kura ni kuondoa CCM A na kuweka CCM B.
Lowassa, Kingunge, Masha, Mwapachu, Sumaye hawa ndio wenye uzoefu lazima waingie kwenye baraza la mawaziri, mtake msitake.
Kweli kwa CCM maisha yataendelea kuwa yale yale. hakuna kilichobadilika.