CHADEMA imeingiliwa, inasikitisha ila ndio kweli

CHADEMA imeingiliwa, inasikitisha ila ndio kweli

iArmaniAdamson

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
944
Reaction score
289
Baada ya Mwapachu kuondoka, leo ndio nimeamini CDM ile tuliyoijua sio tena.

Yaani hapa zoezi la kupiga kura ni kuondoa CCM A na kuweka CCM B.

Lowassa, Kingunge, Masha, Mwapachu, Sumaye hawa ndio wenye uzoefu lazima waingie kwenye baraza la mawaziri, mtake msitake.

Kweli kwa CCM maisha yataendelea kuwa yale yale. hakuna kilichobadilika.
 
Ahaaaaa mmeanza kukubali kuwa ikulu ni ya lowassa eeh..na wangekuja wagombee ubunge ukawa mngesema vilevile. Lipi jema kwenu nyie watu
 
Baada ya Mwapachu kuondoka, leo ndio nimeamini CDM ile tuliyoijua sio tena!

yaani hapa zoezi la kupiga kura ni kuondoa CCM A na kuweka CCM B.

Lowassa, Kingunge, Masha, Mwapachu, Sumaye hawa ndio wenye uzoefu lazima waingie kwenye baraza la mawaziri, mtake msitake.

kweli kwa CCM maisha yataendelea kuwa yale yale. hakuna kilichobadilika.

Mbona Mwapachu hajasema kuwa anaenda Chadema hebu mods futeni huu ujinga! humu hii thread ilitakiwa kuwa status huko Facebook!
 
Baada ya Mwapachu kuondoka, leo ndio nimeamini CDM ile tuliyoijua sio tena!

yaani hapa zoezi la kupiga kura ni kuondoa CCM A na kuweka CCM B.

Lowassa, Kingunge, Masha, Mwapachu, Sumaye hawa ndio wenye uzoefu lazima waingie kwenye baraza la mawaziri, mtake msitake.

kweli kwa CCM maisha yataendelea kuwa yale yale. hakuna kilichobadilika.

Mtasema saaaana!!!! Hahaa mnatia huruma nyie
 

Attachments

  • 1444758475304.jpg
    1444758475304.jpg
    43.7 KB · Views: 674
Baada ya Mwapachu kuondoka, leo ndio nimeamini CDM ile tuliyoijua sio tena!

yaani hapa zoezi la kupiga kura ni kuondoa CCM A na kuweka CCM B.

Lowassa, Kingunge, Masha, Mwapachu, Sumaye hawa ndio wenye uzoefu lazima waingie kwenye baraza la mawaziri, mtake msitake.

kweli kwa CCM maisha yataendelea kuwa yale yale. hakuna kilichobadilika.

Wakubali wakatae CDM imejaa CCM tupu

The end justifies the end....tunachotaka ni bendera yenye rangi tofauti na ccm
 
Baada ya Mwapachu kuondoka, leo ndio nimeamini CDM ile tuliyoijua sio tena!

yaani hapa zoezi la kupiga kura ni kuondoa CCM A na kuweka CCM B.

Lowassa, Kingunge, Masha, Mwapachu, Sumaye hawa ndio wenye uzoefu lazima waingie kwenye baraza la mawaziri, mtake msitake.

kweli kwa CCM maisha yataendelea kuwa yale yale. hakuna kilichobadilika.

Imeingiliwa kivipi..hivi mnakosa la kuandika?hivi kuwa waziri ni lzm uwe na uzoefu?wale wanaochaguliwa kwa mara ya kwanza uzoefu wanautoa wapi?kwanza unachekesha maana waziri anatakiwa awe mbunge hasa wa kuchaguliwa..hawa waliojiunga wamechoka na mafisiemu..wameongeza nguvu ya kuwachomoa!
 
Kaka ukisema ccm b hukosei, kwani hata mimi miaka ya 1995 nilikuwa ccm na naamini mtanzania yeyote yule katoka ccm ndo akaondoka kwa muda wake aliouona unafaa.
 
Nani kakumbia Mwapachu kahamia Chadema Ndugu Yangu.

Hata Kingunge sio Chadema.
 
Hata waje ccm,waje act,waje chauma tutawapokea na bado tutabaki kuwa chadema na kombe lazma liende monduli wanaokasirika wote wale pilipili.
 
Hilo jina la ccm sisi hatulitaki.
Ndo mana kuna kinachoitwa "serikali ya Magufuli".
 
Delete ccm kwanza hapo 25 october mengine yatafuata.Na kesho ukawa inapokea forward matata Mwa..
attachment.php
 
Kaka ukisema ccm b hukosei, kwani hata mimi miaka ya 1995 nilikuwa ccm na naamini mtanzania yeyote yule katoka ccm ndo akaondoka kwa muda wake aliouona unafaa.

Akhsante youngsharo.
Kabla ya mfumo wa vyama vingi vya siasa kurudishwa tena 1992, watanzania wote waliokuwa ni wanachama wa chama cha siasa walikuwa ni CCM.
Baada ya mfumo wa vyama vingi kurudishwa tena mwaka 1992,waliokuwa wanachama wa CCM na wasio wanachama ndio walioanzisha vyama na wengine kuendelea kutoka CCM kulingana na wakati muafaka kwao.
 
Huu ni udhihirisho kuwa kazi walioifanya kwa miaka 10 kwa kutumia ruzuku zetu ni hewa!

Kama kuna CCM A CCM B ya nini-Mzee ruksa
 
Back
Top Bottom