Mbona Mwapachu hajasema kuwa anaenda Chadema hebu...
Akhsante youngsharo.
Kabla ya mfumo wa vyama vingi vya siasa kurudishwa tena 1992, watanzania wote waliokuwa ni wanachama wa chama cha siasa walikuwa ni CCM.
Baada ya mfumo wa vyama vingi kurudishwa tena mwaka 1992,waliokuwa wanachama wa CCM na wasio wanachama ndio walioanzisha vyama na wengine kuendelea kutoka CCM kulingana na wakati muafaka kwao.
Baada ya Mwapachu kuondoka, leo ndio nimeamini CDM ile tuliyoijua sio tena.
Yaani hapa zoezi la kupiga kura ni kuondoa CCM A na kuweka CCM B.
Lowassa, Kingunge, Masha, Mwapachu, Sumaye hawa ndio wenye uzoefu lazima waingie kwenye baraza la mawaziri, mtake msitake.
Kweli kwa CCM maisha yataendelea kuwa yale yale. hakuna kilichobadilika.
Ni vizuri umeona kwamba CCm inaondoka.
Na Mzee Kingunge nae ataingia kwenye baraza la mawaziri.... Au jnaonaje?
Kama na wewe unayaka mkeo aingie mwambie ayakubali mabadiliko... Apewe wizara.
Baada ya Mwapachu kuondoka, leo ndio nimeamini CDM ile tuliyoijua sio tena.
Yaani hapa zoezi la kupiga kura ni kuondoa CCM A na kuweka CCM B.
Lowassa, Kingunge, Masha, Mwapachu, Sumaye hawa ndio wenye uzoefu lazima waingie kwenye baraza la mawaziri, mtake msitake.
Kweli kwa CCM maisha yataendelea kuwa yale yale. hakuna kilichobadilika.
Kumbe umetambua ccm ni mbaya!
Baada ya Mwapachu kuondoka, leo ndio nimeamini CDM ile tuliyoijua sio tena.
Yaani hapa zoezi la kupiga kura ni kuondoa CCM A na kuweka CCM B.
Lowassa, Kingunge, Masha, Mwapachu, Sumaye hawa ndio wenye uzoefu lazima waingie kwenye baraza la mawaziri, mtake msitake.
Kweli kwa CCM maisha yataendelea kuwa yale yale. hakuna kilichobadilika.
Kingunge aliwahi kuwa waziri...sijui ni kipi significant anachoweza kujivunia
Hah hah haaa!!!!! Hiyo inaitwa '#TOROKAUJE'. Nawe unakaribishwa UKAWA. Ila kumbuka kuwa hata isemwe vipi, wananchi wako hooii bin taaban na masysyemu na magamba. Wananchi wanataka #MABADILIKO , #UKAWA , #LOWASSA.
kama mabadiliko ndio haya, ni bora tubaki na CCM kama chama tawala tu.
Mzee kingunge, Lowassa na Mwapachu hawana madhara waache waende chama kiingie ikulu awamu ya tano kikiwa hakina makandokando
Baada ya Mwapachu kuondoka, leo ndio nimeamini CDM ile tuliyoijua sio tena.
Yaani hapa zoezi la kupiga kura ni kuondoa CCM A na kuweka CCM B.
Lowassa, Kingunge, Masha, Mwapachu, Sumaye hawa ndio wenye uzoefu lazima waingie kwenye baraza la mawaziri, mtake msitake.
Kweli kwa CCM maisha yataendelea kuwa yale yale. hakuna kilichobadilika.
chadema ni kituo cha kulelea wazee hivyo mwapachu kaenda kituoni maana hana msaada wowote ccm na chadema ila ngoja naye aende kituoni