Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa

Mwili wa James Temba, aliyepotea umeokotwa mto Msimbazi ukiwa hauna kichwa

Mishi Zawa

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2015
Posts
1,673
Reaction score
2,568
Mwili wa James Temba aliyepotea siku kadhaa umeokotwa katika mto Msimbazi Dar es Salaam ukiwa hauna kichwa.

Wakuu! Huu ukatili umepitiliza,, nini kipo nyuma ya pazia?!

James Temba ni ndugu wa Mwanamziki wa kundi la TMK Wanaume Family, Mhe. Temba. James Temba alichukuliwa na watu wasiojulikana Jijini Dar es salaam siku kadhaa zilizopita, na jana mwili wake umeonekana ukielea mto Msimbazi Tabata huku ukiwa hauna kichwa.

Kupitia mtandao wa Kijamii wa Instagram, msanii Mhe. Temba amethibitisha kifo hicho kwa kuandika ''
Rest in peace my uncle James Temba Umeondoka bado mdogo wamekufanyia kitendo cha kikatili cha kukatisha maisha yako na kukata kichwa chako na kuondoka nacho ila kwa kuwa Mungu yupo hakika atatenda miujiza 🙏



Temba.jpg
 
hao walioitenda kitendo hich hawana md mrefu dunian ingawa sisi hatuwafahamu mungu anawajua ila damu ya Temba itaalan maana wameua mwili ila roho i hai naitawahukumu kokote walipo watanzania tumekuwa wanyama tunasifika nje kuwa taifa la upendo na aman ila kwa yote hatuna upendo wowote tumejivalia ngoz ya kondoo
 
Back
Top Bottom