CHADEMA imedumaa na wale wengine wamefubaa kabisa

Haya nenda kamuulize jiwe kwanini anawakubali hao wanao hama kutoka cdm na kuwapitisha bila kupingwa kwenye chama chake,huyo Mbowe naye ni binadamu kama wewe anahitaji kuishi maisha kama wewe yaani hata aibu huoni?
 
Umevurugwa wewe na una macho lkn huoni na una masikio lkn husikii
 
Mnajifanya hamnazo yanayoendelea hamyaoni.

Ata fisi alipenda sana mkono wa binadamu uanguke lakini ndiyo hivyo.

Chadema itaendelea kuwepo .
 
Ni mpuuzi tu asiyeona hujuma zinazofanywa na utawala wa CCM ili kuvidhoofisha vyama vya upinzani hapa nchini.
 
hahahahaha! CHADEMA ya sasa imezidi kuimalika zaidi. mfano kwenye mkutano ya kampeni Monduri na Ukonga, tulishuhudia maelfu ya watu kuliko ilivyokuwa 2015
 
CCM imebaki kulazimisha kupendwa.wakati CDM inakimbiliwa na watu kwa mapenzi yao toka moyoni.
 
Kinachonishangaza ni jinsi watu wanavyoshangilia uonevu, inaonyesha kuwa pamoja na miaka mingi kupita bado tunaweza kutobolewa miguu na tukafungwa minyororo kama enzi za utumwa.
 
Angekuwepo angenunulika,MTU masikini hawezi kuwa mwanasiasa mzuri.
Dr Slaa hana msimamo wowote ndio maana wale aliokuwa anawapinga akiwamo Magufuli kuwa atamfunga akiingia madarakani kwa ufisadi wa nyumba za serikali alioufanya akiwa waziri wa nyumba

Angekuwa ana msimamo wa kiuanaharakati asingeweza kwenda kuungana na wale wanaodhulumu haki za raia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…