nafahamu chadema waliisaliti Cuf jimbo la segerea maana ht mimi ni mki wa segereawe uongo au ukweli unaufahamje kuhusu bandiko?
ndio akili zao zimeishia hapoWatu mmeshindwa kutoa hoja kumpinga mleta mada mmeishia kumshambulia yeye mwenyewe... Sasa hapo nani ni kihiyo.. ?!
ni kihiyo huyo,hajui anachokizungumza pia haamini anachokisimamia...
Unajua watanzania tunashindwa kuwa wakweli na wazalendo katika maisha yetu ya kila siku !!! Unakuta mtu kama Julius Mtatiro aliyeanza
kutelezwa kuanzia akiwa mwanafunzi UDSM na uongozi
wa chama mpaka akahamia CUF ilipofika uchaguzi wa 2015
kwenye jimbo la segerea
akafanyiwa kila aina ya ujuma na mgombea wa chama kilekile
CHADEMA Leo anakaa nao meza moja tena ndo genge la marafiki zake na akili yake yote ipo
huko!!! Huu siyo utumwa wa siasa jamani kuweni makini BAVICHA
Watu mmeshindwa kutoa hoja kumpinga mleta mada mmeishia kumshambulia yeye mwenyewe... Sasa hapo nani ni kihiyo.. ?![/
QUOTE]
Na ndio hapa hapa na
Acha poyoyo weeee