Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Katika siku za karibuni Chadema wamekuwa wakikongwa nyoyo zao na wabunge wa CCM Ndg.Nape Nnauye na Hussein Bashe kwa jinsi wanavyoikosoa serikali. Ili kudumisha dhamira ya kweli katika kuhakikisha ya kwamba watu makini ndio wanaendelea kuwa watetezi wa wananchi, wakati umefika kwa uongozi wa Chadema kutosimamisha wagombea katika majimbo ya Mtama na Nzega mjini la sivyo mtakuwa wanafiki.
Nimeweka hii ili kuweka kumbukumbu sawa.
Nimeweka hii ili kuweka kumbukumbu sawa.