Niseme ukweli hiki chama kiko moyoni
Nilikuwa chadema active 2005-2015 lowasa aliposhindwa niliumia sana
Nowdays nimekikita kwenye biashara so hapa kati mwendazake alivyokuwa anafutilia mbali niliacha kabisa hata kuongelea mambo ya siasa watu wasijenichoma biashara ikaletewa kodi ya billion na tra
2010 nilitia nia kugombea kupitia CCM(ili nijisafishe maana watu wa tangu zaman wanajua me chadema so ili kutoa huyo dhana kichwan mwao nikatia nia)
Baada ya hapo nikaachana kabisa na mambo ya siasa
Ila niwe mkweli tangu juzi naangalia nyomi la tunduma/mbeya na mikoa mingine wanayopiga ziara najikuta mwili unasisimka mpk moyo unapata aman
Nahisi nakipenda hiki chama na kiko moyon kabisa
CHADEMA nimeamini ilijengwa kwenye mioyo ya watu
People's
Nilikuwa chadema active 2005-2015 lowasa aliposhindwa niliumia sana
Nowdays nimekikita kwenye biashara so hapa kati mwendazake alivyokuwa anafutilia mbali niliacha kabisa hata kuongelea mambo ya siasa watu wasijenichoma biashara ikaletewa kodi ya billion na tra
2010 nilitia nia kugombea kupitia CCM(ili nijisafishe maana watu wa tangu zaman wanajua me chadema so ili kutoa huyo dhana kichwan mwao nikatia nia)
Baada ya hapo nikaachana kabisa na mambo ya siasa
Ila niwe mkweli tangu juzi naangalia nyomi la tunduma/mbeya na mikoa mingine wanayopiga ziara najikuta mwili unasisimka mpk moyo unapata aman
Nahisi nakipenda hiki chama na kiko moyon kabisa
CHADEMA nimeamini ilijengwa kwenye mioyo ya watu
People's