Chadema ikisambaratika tukimbilie wapi??

Chadema ikisambaratika tukimbilie wapi??

mshikachuma

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
2,853
Reaction score
638
Kwanza siombi hiyo hali itokee! Na mungu haepushie mbali kabisa.

Nikiwa kama mwanachama hai na mpenzi mkubwa wa hili CHAMA[chadema]
ambae nimekunywa hadi maji ya rangi ya bendera yake. Nina swali moja -Hivi
chadema imetokea kusambaratika tutakimbilia wapi? Maana kwa sasa hapa
Tanzania hakuna chama cha ukweli na chenye malengo ya Taifa hili na wananchi
wake kama chadema! Hakika hili ndio kimbilio letu kwa sisi tuliochoka na usanii wa
miaka 50. Mijadala yote inayoipasua kichwa ccm leo hii,ni kazi ya chadema. Mwamko
wa wananchi zidi ya serikali yao ya kifisadi na mengine mengi,ni kazi ya chadema.

Si mijini,si vijijjini. Si secondary schools,si vyuoni. Si maofisini,si mitaani. Si redioni,si
kwenye luninga. Si magazetini,si kwenye mablog. Yaani kila sehemu ni chadema tu!.
Ssa itokee hili CHAMA lisambaratike' Je tutakimbilia wapi? kiliochetu tutakitoa wapi?
sura zetu tutazificha wapi? Je tutawafata viongozi wahamiapo vyama vingine au tuta
baki na CHAMA letu? kwenye viongozi nazungumzia wale super havyweight ya Top 5.
Mfano Dk Slaa,Mbowe nk. Je itakuwaje na tutafanya nini? - Nawasilisha
 
Kwanza siombi hiyo hali itokee! Na mungu haepushie mbali kabisa.

Nikiwa kama mwanachama hai na mpenzi mkubwa wa hili CHAMA[chadema]
ambae nimekunywa hadi maji ya rangi ya bendera yake. Nina swali moja -Hivi
chadema imetokea kusambaratika tutakimbilia wapi? Maana kwa sasa hapa
Tanzania hakuna chama cha ukweli na chenye malengo ya Taifa hili na wananchi
wake kama chadema! Hakika hili ndio kimbilio letu kwa sisi tuliochoka na usanii wa
miaka 50. Mijadala yote inayoipasua kichwa ccm leo hii,ni kazi ya chadema. Mwamko
wa wananchi zidi ya serikali yao ya kifisadi na mengine mengi,ni kazi ya chadema.

Si mijini,si vijijjini. Si secondary schools,si vyuoni. Si maofisini,si mitaani. Si redioni,si
kwenye luninga. Si magazetini,si kwenye mablog. Yaani kila sehemu ni chadema tu!.
Ssa itokee hili CHAMA lisambaratike' Je tutakimbilia wapi? kiliochetu tutakitoa wapi?
sura zetu tutazificha wapi? Je tutawafata viongozi wahamiapo vyama vingine au tuta
baki na CHAMA letu? kwenye viongozi nazungumzia wale super havyweight ya Top 5.
Mfano Dk Slaa,Mbowe nk. Je itakuwaje na tutafanya nini? - Nawasilisha

chukua pop corn moja hapa
😛opcorn:😛opcorn:😛opcorn:
 
tutaenda kujihifadhi kwa mzee hashim rungwe mzee wa mipango a.k.a haendi ikulu kutafuta benzi, ili atupangie mipango mingine ya kuiondoa ccm
 
Kutokana na historia , ioaonesha kundi moja liangukapo huinuka kundi lingine lenye nguvu zaidi. huko ndiko tutapohamia
 
never cross the bridge b4 u come cross 2 it...and never entertain negative attitude in whatever ua doing.....!
 
Henge na Sulpha hakika nyie ndiye mukombali sana kifikra
Nyie ndie mnaosema mimi na mke wangu hatutaachana hadi kiama.
Ikitokea mke au girl friend wako kakupiga chini unaanza kunywa sumu
au kujitundika. Kwenye maisha yoyote yale lazima kuwe na PLAN B siyo A tu.
Kuna mifano mingi sana kwenye maofisi na private sector pia. Huko kote ni
lazima uwe na plan B kwa hakiba.
Hivi NCCR,TLP,CCJ nk. leo viko wapi? si vimebaki makuwadi wa ccm tu?

Kwanza ma self siombi hiyo hali itokee hata kidogo! Lakini ikajatokea ghafla
bin vuu tutafanyeje? Hili ndilo swali langu la PLAN B.
Tukiwa kama maGreat thinker si mbaya tukiwa na plan zote A na B kwenye mind zetu.
Ahsante SAMWEL E.K kwa post yako ya kwanza lakini umejibu vizuri sana
 
Matola unanivunja mbavu nacheka hadi nimesahau nini
nilitaka kukujibu! unawazim sana kaka!
 
Mie nna mashaka! Chadema Kufa?!! Hiyo Chama "TWAWALA" naiona yaelekea kusambaratika kwani hajulikani kiongozi ni nani, kauli toka kila upande na mwenyekigoda kama vile hayupo!!
 
Jibu tuhakikishe hakifi hadi mision completed-kuwaondoa mafisadi
 
Henge na Sulpha hakika nyie ndiye mukombali sana kifikra
Nyie ndie mnaosema mimi na mke wangu hatutaachana hadi kiama.
Ikitokea mke au girl friend wako kakupiga chini unaanza kunywa sumu
au kujitundika. Kwenye maisha yoyote yale lazima kuwe na PLAN B siyo A tu.
Kuna mifano mingi sana kwenye maofisi na private sector pia. Huko kote ni
lazima uwe na plan B kwa hakiba.
Hivi NCCR,TLP,CCJ nk. leo viko wapi? si vimebaki makuwadi wa ccm tu?

Kwanza ma self siombi hiyo hali itokee hata kidogo! Lakini ikajatokea ghafla
bin vuu tutafanyeje? Hili ndilo swali langu la PLAN B.
Tukiwa kama maGreat thinker si mbaya tukiwa na plan zote A na B kwenye mind zetu.
Ahsante SAMWEL E.K kwa post yako ya kwanza lakini umejibu vizuri sana
JF bwana... haiishi vituko vya kila aina, YANGU MACHO!!
 
Kwanza siombi hiyo hali itokee! Na mungu haepushie mbali kabisa.

Nikiwa kama mwanachama hai na mpenzi mkubwa wa hili CHAMA[chadema]
ambae nimekunywa hadi maji ya rangi ya bendera yake. Nina swali moja -Hivi
chadema imetokea kusambaratika tutakimbilia wapi? Maana kwa sasa hapa
Tanzania hakuna chama cha ukweli na chenye malengo ya Taifa hili na wananchi
wake kama chadema! Hakika hili ndio kimbilio letu kwa sisi tuliochoka na usanii wa
miaka 50. Mijadala yote inayoipasua kichwa ccm leo hii,ni kazi ya chadema. Mwamko
wa wananchi zidi ya serikali yao ya kifisadi na mengine mengi,ni kazi ya chadema.

Si mijini,si vijijjini. Si secondary schools,si vyuoni. Si maofisini,si mitaani. Si redioni,si
kwenye luninga. Si magazetini,si kwenye mablog. Yaani kila sehemu ni chadema tu!.
Ssa itokee hili CHAMA lisambaratike' Je tutakimbilia wapi? kiliochetu tutakitoa wapi?
sura zetu tutazificha wapi? Je tutawafata viongozi wahamiapo vyama vingine au tuta
baki na CHAMA letu? kwenye viongozi nazungumzia wale super havyweight ya Top 5.
Mfano Dk Slaa,Mbowe nk. Je itakuwaje na tutafanya nini? - Nawasilisha

in your life system try to inject "the fear of failure'&try 2 change impossibilities to possibilities' u possess the power to destroy it(cdm) or to preserve it! Play your role youngman.
 
Kimbilia kwa mama yako mzazi. Kwani chadema ni mama yako?
 
Henge na Sulpha hakika nyie ndiye mukombali sana kifikra
Nyie ndie mnaosema mimi na mke wangu hatutaachana hadi kiama.
Ikitokea mke au girl friend wako kakupiga chini unaanza kunywa sumu
au kujitundika. Kwenye maisha yoyote yale lazima kuwe na PLAN B siyo A tu.
Kuna mifano mingi sana kwenye maofisi na private sector pia. Huko kote ni
lazima uwe na plan B kwa hakiba.
Hivi NCCR,TLP,CCJ nk. leo viko wapi? si vimebaki makuwadi wa ccm tu?

Kwanza ma self siombi hiyo hali itokee hata kidogo! Lakini ikajatokea ghafla
bin vuu tutafanyeje? Hili ndilo swali langu la PLAN B.
Tukiwa kama maGreat thinker si mbaya tukiwa na plan zote A na B kwenye mind zetu.
Ahsante SAMWEL E.K kwa post yako ya kwanza lakini umejibu vizuri sana

kwahiyo mkuu unanishauri nianze kufikiria nitaenda wapi endepo kanisa la Kakobe Full Gospel Church likifa.....
 
Utabaki hapohapo maana CDM ipo na itazidi kuwepo!
 
Back
Top Bottom