mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 638
Kwanza siombi hiyo hali itokee! Na mungu haepushie mbali kabisa.
Nikiwa kama mwanachama hai na mpenzi mkubwa wa hili CHAMA[chadema]
ambae nimekunywa hadi maji ya rangi ya bendera yake. Nina swali moja -Hivi
chadema imetokea kusambaratika tutakimbilia wapi? Maana kwa sasa hapa
Tanzania hakuna chama cha ukweli na chenye malengo ya Taifa hili na wananchi
wake kama chadema! Hakika hili ndio kimbilio letu kwa sisi tuliochoka na usanii wa
miaka 50. Mijadala yote inayoipasua kichwa ccm leo hii,ni kazi ya chadema. Mwamko
wa wananchi zidi ya serikali yao ya kifisadi na mengine mengi,ni kazi ya chadema.
Si mijini,si vijijjini. Si secondary schools,si vyuoni. Si maofisini,si mitaani. Si redioni,si
kwenye luninga. Si magazetini,si kwenye mablog. Yaani kila sehemu ni chadema tu!.
Ssa itokee hili CHAMA lisambaratike' Je tutakimbilia wapi? kiliochetu tutakitoa wapi?
sura zetu tutazificha wapi? Je tutawafata viongozi wahamiapo vyama vingine au tuta
baki na CHAMA letu? kwenye viongozi nazungumzia wale super havyweight ya Top 5.
Mfano Dk Slaa,Mbowe nk. Je itakuwaje na tutafanya nini? - Nawasilisha
Nikiwa kama mwanachama hai na mpenzi mkubwa wa hili CHAMA[chadema]
ambae nimekunywa hadi maji ya rangi ya bendera yake. Nina swali moja -Hivi
chadema imetokea kusambaratika tutakimbilia wapi? Maana kwa sasa hapa
Tanzania hakuna chama cha ukweli na chenye malengo ya Taifa hili na wananchi
wake kama chadema! Hakika hili ndio kimbilio letu kwa sisi tuliochoka na usanii wa
miaka 50. Mijadala yote inayoipasua kichwa ccm leo hii,ni kazi ya chadema. Mwamko
wa wananchi zidi ya serikali yao ya kifisadi na mengine mengi,ni kazi ya chadema.
Si mijini,si vijijjini. Si secondary schools,si vyuoni. Si maofisini,si mitaani. Si redioni,si
kwenye luninga. Si magazetini,si kwenye mablog. Yaani kila sehemu ni chadema tu!.
Ssa itokee hili CHAMA lisambaratike' Je tutakimbilia wapi? kiliochetu tutakitoa wapi?
sura zetu tutazificha wapi? Je tutawafata viongozi wahamiapo vyama vingine au tuta
baki na CHAMA letu? kwenye viongozi nazungumzia wale super havyweight ya Top 5.
Mfano Dk Slaa,Mbowe nk. Je itakuwaje na tutafanya nini? - Nawasilisha