Chadema ikifa viongozi wengi wa CCM watapoteza umaarufu akiwemo Spika na mwenezi wa chama

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,963
141,963
Wale wahenga wenzangu tulioishi wakati wa mfumo wa chama kimoja enzi za mwalimu Nyerere mtanielewa kirahisi.

Kwa sasa Chadema ndio chama cha upinzani kilichobaki chenye nguvu kidogo kiasi cha kuwapa promo baadhi ya viongozi wa CCM. Lakini nawahakikishieni kuwa bila upinzani hakuna umaarufu wa individuals ndani ya CCM. Kwa mfano kwa sasa tumeshasahau kama CCM ina Naibu katibu mkuu aliyemrithi Dr Mwigulu. Vivyo hivyo 2021 tutawasahau kabisa Katibu mkuu na mwenezi wa chama kwa kuwa chama kitakuwa kimeshika hatamu.

Chama kikishika hatamu watu maarufu wanabaki kuwa ni viongozi watendaji serikalini kama ilivyokuwa kwa Sokoine na Salim A. Salim.

Hapa tunakumbushana tu maana kuna vijana wadogo humu Jf. Bila kuwa na vyama imara vya upinzani hata umuhimu wa chama tawala hupungua serikali ndio inakuwa kila kitu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Wale wahenga wenzangu tulioishi wakati wa mfumo wa chama kimoja enzi za mwalimu Nyerere mtanielewa kirahisi.

Kwa sasa Chadema ndio chama cha upinzani kilichobaki chenye nguvu kidogo kiasi cha kuwapa promo baadhi ya viongozi wa CCM. Lakini nawahakikishieni kuwa bila upinzani hakuna umaarufu wa individuals ndani ya CCM. Kwa mfano kwa sasa tumeshasahau kama CCM ina Naibu katibu mkuu aliyemrithi Dr Mwigulu. Vivyo hivyo 2021 tutawasahau kabisa Katibu mkuu na mwenezi wa chama kwa kuwa chama kitakuwa kimeshika hatamu.

Chama kikishika hatamu watu maarufu wanabaki kuwa ni viongozi watendaji serikalini kama ilivyokuwa kwa Sokoine na Salim A. Salim.

Hapa tunakumbushana tu maana kuna vijana wadogo humu Jf. Bila kuwa na vyama imara vya upinzani hata umuhimu wa chama tawala hupungua serikali ndio inakuwa kila kitu.

Maendeleo hayana vyama!
Asante..Yohana Mbatizaji..........
 
Wale wahenga wenzangu tulioishi wakati wa mfumo wa chama kimoja enzi za mwalimu Nyerere mtanielewa kirahisi.

Kwa sasa Chadema ndio chama cha upinzani kilichobaki chenye nguvu kidogo kiasi cha kuwapa promo baadhi ya viongozi wa CCM. Lakini nawahakikishieni kuwa bila upinzani hakuna umaarufu wa individuals ndani ya CCM. Kwa mfano kwa sasa tumeshasahau kama CCM ina Naibu katibu mkuu aliyemrithi Dr Mwigulu. Vivyo hivyo 2021 tutawasahau kabisa Katibu mkuu na mwenezi wa chama kwa kuwa chama kitakuwa kimeshika hatamu.

Chama kikishika hatamu watu maarufu wanabaki kuwa ni viongozi watendaji serikalini kama ilivyokuwa kwa Sokoine na Salim A. Salim.

Hapa tunakumbushana tu maana kuna vijana wadogo humu Jf. Bila kuwa na vyama imara vya upinzani hata umuhimu wa chama tawala hupungua serikali ndio inakuwa kila kitu.

Maendeleo hayana vyama!
Umeongea kitu cha msingi sana sana, wapinzani wanaifanya CCM ijitafakari mara kwa Mara na hivyo kurekebisha na kuendelea, ULICHO SAHAU ni Chama kikishika hatamu 2021 ndio utakuwa MWANZO wa upinzani halisi na wenye nguvu utakaoiondoa CCM madarakani
 
Umeongea kitu cha msingi sana sana, wapinzani wanaifanya CCM ijitafakari mara kwa Mara na hivyo kurekebisha na kuendelea, ULICHO SAHAU ni Chama kikishika hatamu 2021 ndio utakuwa MWANZO wa upinzani halisi na wenye nguvu utakaoiondoa CCM madarakani
Hilo nalo ni neno!

Waswahili wana msemo...alalaye usimwamshe!
 
Hilo nalo ni neno!

Waswahili wana msemo...alalaye usimwamshe!

Leo ccm wanachekelea matumizi mabovu ya madaraka yanapolazimisha kuua upinzani, bila kujua ushindani humo ndani ya ccm utageuka kuwa wa ukabila, ukanda na hata udini. Chuki ndani ya ccm itakuwa wazi na mgawanyiko kwani chuki yao inafichwa na uwepo wa upinzani, na umoja wao ni kwasababu tu wanaogopa kupoteza dola kwa wapinzani.

Anachokifanya Magufuli leo na kufumbiwa macho ni kama kuzuia njia ya maji wakati wa kiangazi, bila kujua kwamba wakati wa masika kutatokea mafuriko kwa maji kukosa njia yake.
 
Wale wahenga wenzangu tulioishi wakati wa mfumo wa chama kimoja enzi za mwalimu Nyerere mtanielewa kirahisi.

Kwa sasa Chadema ndio chama cha upinzani kilichobaki chenye nguvu kidogo kiasi cha kuwapa promo baadhi ya viongozi wa CCM. Lakini nawahakikishieni kuwa bila upinzani hakuna umaarufu wa individuals ndani ya CCM. Kwa mfano kwa sasa tumeshasahau kama CCM ina Naibu katibu mkuu aliyemrithi Dr Mwigulu. Vivyo hivyo 2021 tutawasahau kabisa Katibu mkuu na mwenezi wa chama kwa kuwa chama kitakuwa kimeshika hatamu.

Chama kikishika hatamu watu maarufu wanabaki kuwa ni viongozi watendaji serikalini kama ilivyokuwa kwa Sokoine na Salim A. Salim.

Hapa tunakumbushana tu maana kuna vijana wadogo humu Jf. Bila kuwa na vyama imara vya upinzani hata umuhimu wa chama tawala hupungua serikali ndio inakuwa kila kitu.

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu johnthebaptist nakuambia sio hao tu. Hata Musiba hatapata Chakuandika na wakumteka hatapatikana. Sana sana atakuwa kwenye msongo mkubwa sana wa Mawazo akiwaza mabaya aliyotenda na karma itakavyokuwa inamsakama na hata kamati ta maadili ya Bunge haitakuwa na umuhimu wowote na itavunjwa. Shikamoo kaka Pascal Mayalla
 
Na ni kwanini maCCM mnakesha mkiomba upinzani ufutike??
Juzi hapo Singida imekutwa imeundwa kambi ya uvccm wanapata mafunzo vijana wa kusimamia hilo by hooks and crooks.
 
Wale wahenga wenzangu tulioishi wakati wa mfumo wa chama kimoja enzi za mwalimu Nyerere mtanielewa kirahisi.

Kwa sasa Chadema ndio chama cha upinzani kilichobaki chenye nguvu kidogo kiasi cha kuwapa promo baadhi ya viongozi wa CCM. Lakini nawahakikishieni kuwa bila upinzani hakuna umaarufu wa individuals ndani ya CCM. Kwa mfano kwa sasa tumeshasahau kama CCM ina Naibu katibu mkuu aliyemrithi Dr Mwigulu. Vivyo hivyo 2021 tutawasahau kabisa Katibu mkuu na mwenezi wa chama kwa kuwa chama kitakuwa kimeshika hatamu.

Chama kikishika hatamu watu maarufu wanabaki kuwa ni viongozi watendaji serikalini kama ilivyokuwa kwa Sokoine na Salim A. Salim.

Hapa tunakumbushana tu maana kuna vijana wadogo humu Jf. Bila kuwa na vyama imara vya upinzani hata umuhimu wa chama tawala hupungua serikali ndio inakuwa kila kitu.

Maendeleo hayana vyama!
Wataendelea kuwa maarufu tu hasa baada ya kukamatwa mithili ya kuku mdondo baada ya ccm kung'olewa madarakani Novemba 2020
 
Hakuna kitu cha maana hapa,akili yako bado imebaki katika umaarufu wa viongozi wa chama chako kana kwamba ni kitu chenye tija sana kwa wananchi maskini.
Jitahidi kuchambua mambo katika muktadha mpana zaidi,
Unapopima upinzani na chama chako tawala angalia suala la uwazi,ushiriki wa wananchi,haki za kiraia, uwazi na uwajibikaji wa serikali kwa wananchi.
Wale wahenga wenzangu tulioishi wakati wa mfumo wa chama kimoja enzi za mwalimu Nyerere mtanielewa kirahisi.

Kwa sasa Chadema ndio chama cha upinzani kilichobaki chenye nguvu kidogo kiasi cha kuwapa promo baadhi ya viongozi wa CCM. Lakini nawahakikishieni kuwa bila upinzani hakuna umaarufu wa individuals ndani ya CCM. Kwa mfano kwa sasa tumeshasahau kama CCM ina Naibu katibu mkuu aliyemrithi Dr Mwigulu. Vivyo hivyo 2021 tutawasahau kabisa Katibu mkuu na mwenezi wa chama kwa kuwa chama kitakuwa kimeshika hatamu.

Chama kikishika hatamu watu maarufu wanabaki kuwa ni viongozi watendaji serikalini kama ilivyokuwa kwa Sokoine na Salim A. Salim.

Hapa tunakumbushana tu maana kuna vijana wadogo humu Jf. Bila kuwa na vyama imara vya upinzani hata umuhimu wa chama tawala hupungua serikali ndio inakuwa kila kitu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Chadema ni chama imara kulinganisha na vingine vya upinzani..
Tatizo walilonaolo ni ubunifu kwa sasa umepungua,wameadopt siasa za kulalama..

CCM chama tawala ilikiwe na nguvu lazma tukubali kuwepo na upinzani ili tushindane na kukomaa zaidi
 
Wale wahenga wenzangu tulioishi wakati wa mfumo wa chama kimoja enzi za mwalimu Nyerere mtanielewa kirahisi.

Kwa sasa Chadema ndio chama cha upinzani kilichobaki chenye nguvu kidogo kiasi cha kuwapa promo baadhi ya viongozi wa CCM. Lakini nawahakikishieni kuwa bila upinzani hakuna umaarufu wa individuals ndani ya CCM. Kwa mfano kwa sasa tumeshasahau kama CCM ina Naibu katibu mkuu aliyemrithi Dr Mwigulu. Vivyo hivyo 2021 tutawasahau kabisa Katibu mkuu na mwenezi wa chama kwa kuwa chama kitakuwa kimeshika hatamu.

Chama kikishika hatamu watu maarufu wanabaki kuwa ni viongozi watendaji serikalini kama ilivyokuwa kwa Sokoine na Salim A. Salim.

Hapa tunakumbushana tu maana kuna vijana wadogo humu Jf. Bila kuwa na vyama imara vya upinzani hata umuhimu wa chama tawala hupungua serikali ndio inakuwa kila kitu.

Maendeleo hayana vyama!
Kuna wakati saa mbovu inasoma nyakati sahihi.
 
Ni lazima chadomo ife ili Tanzania ipate chama himara cha upinzani chenye ushawishi na kuongeza chachu ya maendeleo.
 
..upinzani wenye nguvu utaifanya ccm irekebishe makosa yake kwa haraka.

..mfano mdogo ni mikataba mibovu ya madini.

..wapinzani waliipigia kelele kwa miaka 15+. lakini kwasababu ccm imekuwa na guarantee ya kushinda uchaguzi, hawakujisahihisha / hawakurekebisha mikataba mpaka pale waliojisikia wenyewe.

..jambo lingine ni kuwa vyama vingi vinatoa ahueni kwa wale wanaoonewa au kupata matatizo ktk vyama vyao. Chukulia suala la Lowassa kutimkia upinzani. Asingekuwa na alternative hiyo labda angejaribu njia ambazo zina madhara kwa jamii.

..lingine ni kwamba muda wote lazima kuwe na vyama ambavyo vinaweza kupokezana madaraka kwa amani. Kilichotokea Libya ni matokeo ya Gaddafi kujilundikia madaraka kiasi kwamba kukawa hakuna mbadala wake ktk kuiongoza Libya, na hivyo kupelekea nchi kusambaratikam
 
..upinzani wenye nguvu utaifanya ccm irekebishe makosa yake kwa haraka.

..mfano mdogo ni mikataba mibovu ya madini.

..wapinzani waliipigia kelele kwa miaka 15+. lakini kwasababu ccm imekuwa na guarantee ya kushinda uchaguzi, hawakujisahihisha / hawakurekebisha mikataba mpaka pale waliojisikia wenyewe.

..jambo lingine ni kuwa vyama vingi vinatoa ahueni kwa wale wanaoonewa au kupata matatizo ktk vyama vyao. Chukulia suala la Lowassa kutimkia upinzani. Asingekuwa na alternative hiyo labda angejaribu njia ambazo zina madhara kwa jamii.

..lingine ni kwamba muda wote lazima kuwe na vyama ambavyo vinaweza kupokezana madaraka kwa amani. Kilichotokea Libya ni matokeo ya Gaddafi kujilundikia madaraka kiasi kwamba kukawa hakuna mbadala wake ktk kuiongoza Libya, na hivyo kupelekea nchi kusambaratikam
Wakikujibu hii naomba unitag.
 
Siasa za kulalama ndio siasa gani?
Unapendekeza wafanya siasa zipi?
Ubunifu uliopungua ni upi? Mikutano ya nje?
Chadema ni chama imara kulinganisha na vingine vya upinzani..
Tatizo walilonaolo ni ubunifu kwa sasa umepungua,wameadopt siasa za kulalama..

CCM chama tawala ilikiwe na nguvu lazma tukubali kuwepo na upinzani ili tushindane na kukomaa zaidi
 
Back
Top Bottom