Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,687
- 272,545
Huyu Mzee alikuwa shujaa wa ajabu sana!
Wakati viongozi wa CHAMA CHAKE CHA ACT wakipigania SUK BIla kujali mauaji ya 29 octoba, yeye akaamua kutangazwa kujiunga na CHADEMA, akiwa kwenye wheel chair bila kuogopa kutupiwa majini
Huu ni ushujaa uliotukuka, napendekeza ajengewe mnara huko kwao
Wakati viongozi wa CHAMA CHAKE CHA ACT wakipigania SUK BIla kujali mauaji ya 29 octoba, yeye akaamua kutangazwa kujiunga na CHADEMA, akiwa kwenye wheel chair bila kuogopa kutupiwa majini
Huu ni ushujaa uliotukuka, napendekeza ajengewe mnara huko kwao