The hammer
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 2,381
- 1,760
Una wazo gani ili kuhakikisha chama cha CHADEMA kinajiwekea mazingira mazuri ya ushindi kwa chaguzi zijazo hasa kwenye mikoa isiyo na wanachama wengi kama mikoa yote ya ukanda wa pwani na kanda ya kati na maeneo yote ya vijijini kwa ngazi zote i.e... SERIKALI ZA MITAA, UDIWANI,UBUNGE NA URAIS..
Na ni kasoro gani(kisera na kimkakati)zilizojitokeza ktk uchaguzi uliopita ktkt eneo ulilokuwepo zilizotokana na wagombea wake au ujanja uliofanyika nakudhoofisha CHADEMA kutokupata kura nyingi ili ziweze kuepukwa ktkt chaguzi nyingine zijazo ktk ngazi zote.
NAANZA NA:
1:Operation Sangara ianze kuvunja ngome zote za CCM ktk mikoa tajwa hapo tu na wilaya nyingine zenye usumbufu.
2:Ishiriki kikamilifu kuhakikisha inashinda viti vingi ktk ngazi za SERIKALI ZA MITAA(vitongoji) ili kujitanua zaid vijijni.
endelea......
Na ni kasoro gani(kisera na kimkakati)zilizojitokeza ktk uchaguzi uliopita ktkt eneo ulilokuwepo zilizotokana na wagombea wake au ujanja uliofanyika nakudhoofisha CHADEMA kutokupata kura nyingi ili ziweze kuepukwa ktkt chaguzi nyingine zijazo ktk ngazi zote.
NAANZA NA:
1:Operation Sangara ianze kuvunja ngome zote za CCM ktk mikoa tajwa hapo tu na wilaya nyingine zenye usumbufu.
2:Ishiriki kikamilifu kuhakikisha inashinda viti vingi ktk ngazi za SERIKALI ZA MITAA(vitongoji) ili kujitanua zaid vijijni.
endelea......