Mkuu Pasco.
Nimekusoma na naheshimu observation zako. umesema mengi na bila shaka unazo grounds za kusema hayo. naona kwa jicho pana kila kauli ulizosema. ingawa sidhani kuwa umeelezwa juu ya mpango wa mimi kuwa "disposed the erlier the better!" disposed???? naam, inawezekana,inawezekana. lakini ninaweza kufanya nini wakati nia hiyo ipo? Biblia husema Bwana asipolinda nyumba wailindao hukesha bure tu. haya mengine ya kuwa insane kama ulivyosema kila mmoja huwa na insanity kwa kiasi chake ila tunazidiana tu.
Pasco, ni kweli mtanikumbuka.