KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Ubinafsi, tamaa mbaya, choyo, chuki ........! Siku hizi hata Ma PHD holders, waliotukuka, ambao wangekuwa washauri wazuri na elekezi kwa ustawi wa chama nao wako kwenye makundi?? kweli? halafu anasema wananchi wazidi kulalamika kwa ajiri ya rasilimali za nchi wakati hata yeye anapigania madaraka tena ikiwezekana kwa propaganda na umamluki na umimi ukipata siutakuwa kama CCM wewe? kweli? lakini wapo akina prof.Safari ni wasafi tu sidhani kama watakuwa na haya mambo!
Isuto So sad yaaan of the all pipo ambao watu walikuwa wanawategemea kwa strategy za chama ni yeye.Lets pray iwe uongo