Haya malumbano yao yanatusababishia tuanze kuvuta kumbukumbu za Viongozi wote wa CDM waliopoteza maisha ki ajabu ajabu. Yaelekea hii michezo yao ya kuuana imekuwa ikifanyika sana ndani ya CDM! Ngoja tuone na mwisho wa hii muvi ya Ben na Zitto!!
Katika swala la kipuuzi narudia tena la kipuuzi nililoona wanarushiana hawa wanasiasa mawazo finyu humu JF bahati mbaya wanatoka upande wa kumtetea ZZK ni hili la KUUANA.
Na wewe umeingia kwenye mtego huu am very sorry for u.
Hv hata tukiamua kujadili hoja hii unaweza kudhibitisha kuwa ni kweli nati za matairi zililegezwa sio swala la kutunga ili kuchafuana tuu?je na kama ni kweli inamaana wabaya wa ZZK kutaka kumfanyia hila hiyo wapo CDM tu hawawezi toka CCM,na mwisho je dereva, sijui kama na walinzi anao huyozito pamoja na wapambe wake hao wanaosema wameona nati za matairi zimelegezwa hadi adui analegeza matairi ya bosi wao wenyewe wanakua wapi nijuazwa kulegeza nati za matairi ni kazi ya muda mrefu zaidi.
Acheni siasa zisizo na mshiko kwa wenye akili hizi ndio mwendelezo wa propaganda za chacha wangwe..
Tena mafya wa CCMwenye nyenzo na utaalamu wa juu wanaweza kutumia mwanya huu kumaliza mtu CDM ili isemekane kauwawa na kikundi flani cha CDM.
Acheni siasa za kipuuzi na zenye kuhataisha maisha ya watu hizi shame on u all under this argument.