Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,496
- 272,110
Hakuna sehemu watakayobakia
No. Taswira ameripoti kwamba jimboni kwa mwigulu bado maccm ni strong. Na kwa kuongeza nguvu nasikia Shonza na Mwampamba wako mbioni kuhamishia makazi yao huko.
ccm imebakia tanga na wilaya zake zote hasa huko lushoto....cjui hawa wasambaa watatoka usingizini lini jamani...inasikitisha sana...wangekua hata serious basi wachague hata wabunge wenye uelewa haohao wa ccm atleast ingewasaidia....wabunge wenyewe ni mizigo tu bungeni....
Nakaribia hapo sasa hivi nimepita ndungu nipo kitongoji kinaitwa bendepa au majengo hapa ni nyumbani kwa daniel yona nitazungukia hedaru na makanya kisha nalala same nitaangalia kama unayosema ni kweli.
Hakuna sehemu watakayobakia
ina maana mkuu Mwampamba ndio nyumba dogo ya muuaji Savimbi
wasambaa ni kiboko wanayo mbunge ambae na mganga wa kienyeji maji marefu ajui hata kusoma na kuandika majanga
inasemekana KIFO
kinafanana tu ! Kwamba aliyeugua akafa ni sawa tu na aliyeliwa na Mamba
au simba ama ni sawa tu na alyekufa kwa kuungua na moto ! Nimepita
HEDARU mchana huu , kiukweli ni kwamba pale ccm imeteketea ! Kila
UNAYEJARIBU KUMHUSISHA NA CCM ANARUKA FUTI MIA ! HIVI CCM IMEBAKI WAPI ,
NA JE INAKUFA KIFO GANI ? HONGERENI SANA CDM HEDARU , SOURCE NI MIMI
MWENYEWE SAFARINI KUREJEA DAR .
Nakaribia hapo sasa hivi nimepita ndungu nipo kitongoji kinaitwa bendepa au majengo hapa ni nyumbani kwa daniel yona nitazungukia hedaru na makanya kisha nalala same nitaangalia kama unayosema ni kweli.