CHADEMA hawataki ‘ujinga’, kumekucha

Umesoma vizuri kilichoandikwa na kuelewa? Kura zilipigwa lkn ni za Ndiyo au Hapana, yaani kwa maana nyingine ilikuwa ni lazima Msigwa apite labda kama watu 100% wangepiga kura ya Hapana jambao ambao haliwezekani!
Hoja ya kijinga sana, kura zimepigwa Msigwa kapata hizo alizopata mlitaka wote wampigie kura Msigwa?
 
Hoja ya kijinga sana, kura zimepigwa Msigwa kapata hizo alizopata mlitaka wote wampigie kura Msigwa?


Hapana, ilitakiwa ashindashwe na sio kundolewa mpinzani huo ni Udikteta!
 
Hapana, ilitakiwa ashindashwe na sio kundolewa mpinzani huo ni Udikteta!
Chadema ni chama cha siasa, ni kikundi cha watu, wakikubaliana kupitia viongozi wake, kwamba Sosopi tusimpe nafasi hii kwa sababu hii na ile kuna ubaya gani? Mbona Sosopi mwenyewe ameridhika kwa kuwa sababu zilizotolewa aliridhika nazo, lakini ninyi kutwa nzima kujaribu kupunguza maumivu yanayotokana na "kuisoma namba" kwa kupigia kelele uchaguzi wa Nyasa, kana kwamba unawahusu, ebo!

Uchaguzi wa viongozi ndani ya vyama vya siasa vinavyoshindana na dola, tena dola yenyewe hii tuliyonayo awamu hii, unaangalia mbali zaidi kuliko mnakoangalia ninyi. Eti demokrasia ndani ya Chadema! Ni upuuzi mkubwa kuhoji demokrasia ndani ya Chadema wakati ni kundi la watu wasiokuhusu kwa namna yeyote, acha waamue wanavyoamua, wewe hoji demokrasia inavyominywa na watawala wa serikali, hao ndio wanakuhusu!
 
Hamuwajui wachaga nyie,chama nimepewa na baba mkwe,ni changu ,ninyi mnaanzia wapi kunihoji kwa mfano? Mnamkumbuka mwenzenu niliyemwita msaliti? Alitoka hakutoka? Kaanzisheni chama chenu,this is "CHAGA DEVELOPMENT MANIFESTO,CHADEMA". Mtaishia kunawa...
 
Kama tunataka kuchukua dola ni muda mwafaka wa Mbowe kuenguliwa uongozi
 
Kura alizopata Msigwa pamoja na kuwa ni za maluhani ila zinatisha hata mbowe mwenyewe.
Kwani akina Sitta, Mwandosya, Lowasa, Ngeleja, Mwigulu, Wasira, Nyalandu nk. Walipata kura ngapi ktk kikao cha kuchuja wagombea urais wa CCM?

Kama hao wagombea waccm walipigiwa kura hata ya hapana au ndio basi tutaamini kweli Mbowe ni dikteta
 
Hahahaha. Mnaopangiwa kaongee nini bila kufikiri mnakuwa wakali sana.

Kyama chenu ndo hiki. Mzee kachuja hadi vijana wameanza kumpiga mawe waziwazi. Kasome na post ya sarakasi za mwanahalisi na Ben saa8.
Mh!! Mbowe Gundu limemnasa
 
CHADEMA tukitaka kuchukua nchi ni muda muafaka Mbowe, Lowassa na akina Msigwa watupishe sasa.

Msigwa pamoja na kupigiwa kura peke yake amepata 58%?, ni aibu sana.
 
Mbowe anakoelekea chadema anaenda kuiuza kwa shilingi 200 hususani 2020,
 
Mzee Wassira na CCM nzima walimshindwa Mbowe sembuse kijarida cha wiki, mnapoteza nguvu zenu bure.

Kumshindwa maana yake ni nini Kama unaenda kwny Uchaguzi hupati walau theluthi moja ya Wabunge?
 
Tokea chadema ianze kusafisha mafisadi, sina hamu nayo
 
miaka 3 iliyopita nilitambua hilo. Sikupenda kukaa kinafiki na kuelezea sifa zake kwa uficho. Siku zote nasema atuachie chama chetu. tutakiendeleza tu bila yeye kuwepo.
Tokea chadema ianze kusafisha mafisadi, sina hamu nayo
 
Naona baada ya Kushindwa Mbowe mpaka kwenye ile sinema ya Young Dreams inayoltwa na Zeee TV maisha mmekuja na ngonjera nyingine.Fanyeni kazi mliyowahidi Watanzania achaneni na Wapinzani hamtawaweza kamwe mtaishia kuwafunga na kuwafungua tu.

Kama kazi hakuna Piga Music hatutakiwi blah blah
 
Mbowe ana akili sana anajaribu Kufuta Ule Ukaskazini na Namuona Vyeo vikigombewa na Wakaskazini anajaribu Kuweka na wengine hivyo Chama kinakua kikubwa kama CCM ambayo ina watu wa Makabila

Mbowe alimuweka Msigwa kuepuka ukaskazini tena Mtu mwenye Jina lisilojificha Kama Ole Sosopi mda mwingine Mihadarati inasaidia.
 
Endeleeni kusoma kusoma vijarida vyenu hivyo vya chama cha kijani.... Ila kaeni mkijua chama kiko imara na kinazidi kuimarika am done. Salute kwa Mbowe mtu huru.
 
'' Kumkosoa Rais John Magufuli kuwa ni dikteta inaonekana ni sawa, ila kumkosoa mwenyekiti wa chama ni dhambi. Mnapinga udikteta wa viongozi wa serikali, halafu mnatetea udikteta wa mwenyekiti wa chama, tena chama kinachojiandaa kushika dola ''.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…