CHADEMA Hawajawahi Kusema Uongo.

CHADEMA Hawajawahi Kusema Uongo.

The Worshiper

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
302
Reaction score
89
Moja ya vitu ambavyo vimekuwa vikinifurahisha Na kuiamini CHADEMA ni Viongozi wao kuwa na kujenga utamaduni wa kuongea kweli. Mara zote wamekuwa wakijitahidi kutafuta kweli ya wanachotaka kukisema kabla ya kukisema. Hata katika harakati zao za kukiimarisha chama chao CHADEMA wamekuwa wakiegemea katika kweli.

Ni vigumu kukuta Viongozi wao kutoka ngazi ya juu mpaka chini wakiongea mambo yasiyo na facts ama ushahidi. Mara zote kweli imekuwa ikielezwa kweli.

Hii ni tofauti Na CCM ambayo harakati zake zote katika kukijenga chama chao zimejaa Uongo, uzushi, rushwa , ulozi, vitisho na hata kuhusishwa na vifo vya watu wakati mwingine. Mambo mengi ambayo yamekuwa yakisemwa Na Viongozi wa CCM huwa siyo ya kweli na yamejificha kwenye kivuli cha uongo na kila jambo wao limebezi katika propaganda. Kweli Kwa CCM huwa haielezwi kweli.


Ukichunguza na kuangalia kwa makini mambo yote yanayosemwa Na CCM juu ya CHADEMA ama upinzani(mifano ni mingi sana) hakuna lililowahi kuwa la kweli ni Uzushi; lakini hali ni tofauti inaposema CHADEMA huwa ni kweli tupu.

HIVYO; ukivipima vyama hivi katika mizania ya kweli, CCM mtaji wake mkubwa upo katika mambo yasiyo haki tofauti Na CHADEMA ama Upinzani ambavyo siku zote wamekuwa wakisimama kwenye kweli Na haki yote.
 
Kwani si hawa viongozi wenu ambao walisema kuwa hakuna katiba ya chama iliweka ukomo wa uongozi baadaye ikabainika kuwa walidanganya?
 
Kwani si hawa viongozi wenu ambao walisema kuwa hakuna katiba ya chama iliweka ukomo wa uongozi baadaye ikabainika kuwa walidanganya?

Ujinga ni ugonjwa mbaya sana, unapokuwa na katiba inayotumika yoyote nyingine iliyopita inakuwa imekufa. Sasa katiba mfu utaifanyia mrejeo? Ndio maana viongozi walisema hakuna katiba inayotoa ukomo wa uongozi. Lkn kama utaamua kujitia ujinga zaidi na kujiona mjuaji, amini pia ipo katiba inayomtambua governor kama mkuu wa serikali ya Tanganyika. Je, huo ni uongo?
 
Kwani si hawa viongozi wenu ambao walisema kuwa hakuna katiba ya chama iliweka ukomo wa uongozi baadaye ikabainika kuwa walidanganya?

Umeanza kuwewezeka? Watanzania wa sasa siyo wale wa Miaka ile tena
 
Maccm maongo mpka shetani anayashangaa.

Kazi kusingizia mapepo
 
Ujinga ni ugonjwa mbaya sana, unapokuwa na katiba inayotumika yoyote nyingine iliyopita inakuwa imekufa. Sasa katiba mfu utaifanyia mrejeo? Ndio maana viongozi walisema hakuna katiba inayotoa ukomo wa uongozi. Lkn kama utaamua kujitia ujinga zaidi na kujiona mjuaji, amini pia ipo katiba inayomtambua governor kama mkuu wa serikali ya Tanganyika. Je, huo ni uongo?

Mkuu unaweza kukuta mapepo yamempanda hadi anaongea kwa lugha isiyoeleweka si unakumbuka mwenyekiti wao alisema wana mapepo anaomba msaada kwa wachungaji waombewe.
 
Hivi ni mapenzi yaliyopitiliza au nini?
Unawezaje kusema chama cha siasa hakijawahi kusema uongo?
 
Slaa pale shinyanga kwenye mkutano Wa hadhara alisimama na kuwambia watu wasimame Dk. Mona kumkumbuka mkuu Wa Mkoa Yohana balele amefariki dunia huo kwa chadema nadhani ni ukweli bila zuzu Kama ww wenye akili timamu hawawezi ishi chadema
 
Haya ule ushahidi wa bomu la soweto ambalo alirusha mbowe na lema uko wapi.
 
Moja ya vitu ambavyo vimekuwa vikinifurahisha Na kuiamini CHADEMA ni Viongozi wao kuwa na kujenga utamaduni wa kuongea kweli.Mara zote wamekuwa wakijitahidi kutafuta kweli ya wanachotaka kukisema kabla ya kukisema.Hata katika harakati zao za kukiimarisha chama chao CHADEMA wamekuwa wakiegemea katika kweli.Ni vigumu kukuta Viongozi wao kutoka ngazi ya juu mpaka chini wakiongea mambo yasiyo na facts ama ushahidi.Mara zote kweli imekuwa ikielezwa kweli.

Hii ni tofauti Na CCM ambayo harakati zake zote katika kukijenga chama chao zimejaa Uongo,uzushi,rushwa ,ulozi,vitisho na hata kuhusishwa na vifo vya watu wakati mwingine.Mambo mengi ambayo yamekuwa yakisemwa Na Viongozi wa CCM huwa siyo ya kweli na yamejificha kwenye kivuli cha uongo na kila jambo wao limebezi katika propaganda.Kweli Kwa CCM huwa haielezwi kweli.


Ukichunguza na kuangalia kwa makini mambo yote yanayosemwa Na CCM juu ya CHADEMA ama upinzani(mifano ni mingi sana) hakuna lililowahi kuwa la kweli ni Uzushi;lakini hali ni tofauti inaposema CHADEMA huwa ni kweli tupu.

HIVYO;ukivipima vyama hivi katika mizania ya kweli,CCM mtaji wake mkubwa upo katika mambo yasiyo haki tofauti Na CHADEMA ama Upinzani ambavyo siku zote wamekuwa wakisimama kwenye kweli Na haki yote.
Dr slaa anasema jose mshumbushi ni mke wake kumbe uongo bali ni mke wa watu huo nao siyo uongo?
 
Haya ule ushahidi wa bomu la soweto ambalo alirusha mbowe na lema uko wapi.

punguani wahed. ushahidi wa bomu upo, lakini hauwezi kutolewa kwa poliCCM, ili wauchakachue, hadi itakapoundwa tume maalum ya kuchunguza ugaidi ule uliotekelezwa na CCM.
 
Asante kwa kusema ukweli mkuu. Huu ndio ukweli ambao magamba hawataki kuusikia. Si umeona jinsi wanavyoweweseka?
 
Kwani si hawa viongozi wenu ambao walisema kuwa hakuna katiba ya chama iliweka ukomo wa uongozi baadaye ikabainika kuwa walidanganya?

usihangaike na hili, hili ni fumbo mfumbie mjinga
 
Uongo wao
Waliwaaminiasha mazuzu wao kuwa
Kipengele cha ukomo kilitolewa na mkutano mkuu huo uongo
Juzi tu ndio kamati ya utendaji ya vipofu vya cdm vikakubali kutowa kipengele cha ukomo wa uongozi
Sijajuwa unataka uongo wanamna gani msukule wewe
 
Ni kweli mpango wa mungu hausemi uongo hata kidogo
 
Back
Top Bottom