CHADEMA hawafai kupewa nchi sababu ni waongo

CHADEMA hawafai kupewa nchi sababu ni waongo

Hivi kuna watu waongo nchi hii zaidi ya watawala wa nchi hii?

Uthibitisho wa hilo ni majuzi tu tulimsikia Mkurugenzi wa shirika la Umma la serikali ya CCM, shirika la umeme la TANESCO Engineer Mramba alipoongea kwa kujiamini kupita kiasi kuwa suala la mgao wa umeme litakuwa historia baada ya gesi ya Mtwara kupitia kwenye bomba jipya lililojengwa na wachina kuanza kufika Dar na hivyo kufanya mitambo mitatu ya kufua umeme ya Kinyerezi na Ubungo kuanza kuzalisha umeme unaofikia megawati zaidi ya 300 ambazo tayari zimeshaanza kuingizwa kwenye gridi ya Taifa.

Sasa huu mgao wa umeme wa 'kufa mtu' unaoendelea kote nchini haijawa uthibitisho kuwa viongozi wanaoongoza kwa uwongo hapa nchini ni kutoka serikali hii ya chama tawala cha Sisiem?

Katika vitu ambavyo vinaniudhi ni huu uongo tunaoambiwa kuhusu umeme, ninategemea umeme kufanya shughuli zangu za kuniingizia kipato, hivyo nakwama sana. Hii ni point moja kubwa ambayo ccm wameipoteza.
 
watanzania mmelogwa wakati wanasema wamejitakasa ccm wameuza hisa tbl kimyakimya bado unaona wanafaa,watanzania heji ushabiki wa kijinga.

Naweza sema ccm nimeikuta, chadema ni kama agemate wangu, hatuchezi mbali, sasa wamenidanganya laivu kwa kunijaza uongo, ni sawa na best friend wangu tuliyeaminiana kanigeuka sehemu ambayo nilimuhitaji sana.
 
Ni kweli ni waongo ila ccm ni waongo zaidi Kwasababu wametudanganya kwa miaka 53 inabidi waondoke tu
 
pamoja na uongo wao nitampigia lowasa
 
jamani huku CCM ni Presha na joto tupu, siku zinahesabika Za Kuanza kutumia Anga La Ukawa Chini Ya Brigedia Kamanda Mkakamavu Sekta Zote Mh. LOWASSA!...kuanzia siku hiyo nitaishi kwa furaha Na amani ndani ya nchi yangu, na kuzidisha mahaba kwa nchi yangu!

AHSANTE! LOWASSAAAA.....AHSANTE BABAAAA.....! WEWE NI RAISI WETU NA TUNAKUKUBALI!!
 
Chadema hawafai kupewa kuwa viongozi wa nchi hii sababu ni waongo. Walitumia nguvu nyingi sana kutuaminisha kuwa lowassa ni fisadi, Mungu aliye juu ndiye anajua kama ni fisadi au la maana naona kwa sasa wanasiasa wanachafuana tu, hamna anayesema ukweli. ila kuna uwezekano kuwa hawa chadema walituambia uongo watanzania wote kwa kumsingizia Lowassa, na kwa hali niionavyo kuna uwezekano mkubwa kuwa walimsingizia lowassa, hivyo kama taasisi hawafai kuchaguliwa sababu wamekijenga chama katika misingi ya uongo.
Nitampigia kura Magufuli na ccm yake kwa sababu chadema siwaamini na ni waongo ila Magufuli naona kama namuamini.
Lowassa Mungu anajua kama ni fisadi au la, na kama si kweli basi Mungu amjaze hekima na ujasiri na afya tele, ila suala la urais kwa sasa sio lake. Labda 2020, taasisi imemuangusha.

Wewe unaniaminosha na kuthibitisha kuwa ukawa nchi wamebeba tayali
 
Sio Bagamoyo,Masasi na Chato!

Excellent! masasi iko mkoa na kanda gani? bagamoyo iko mkoa na kanda gani? na chato iko mkoa na kanda gani? ..umeelewa tunachokisema hapo?
 
Back
Top Bottom