jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,196
- 1,940
Chadema hawafai kupewa kuwa viongozi wa nchi hii sababu ni waongo. Walitumia nguvu nyingi sana kutuaminisha kuwa Lowassa ni fisadi, Mungu aliye juu ndiye anajua kama ni fisadi au la maana naona kwa sasa wanasiasa wanachafuana tu, hamna anayesema ukweli. Ila kuna uwezekano kuwa hawa CHADEMA walituambia uongo watanzania wote kwa kumsingizia Lowassa na kwa hali niionavyo kuna uwezekano mkubwa kuwa walimsingizia Lowassa, hivyo kama taasisi hawafai kuchaguliwa sababu wamekijenga chama katika misingi ya uongo.
Nitampigia kura Magufuli na CCM yake kwa sababu CHADEMA siwaamini na ni waongo ila Magufuli naona kama namuamini.
Lowassa Mungu anajua kama ni fisadi au la na kama si kweli basi Mungu amjaze hekima na ujasiri na afya tele, ila suala la urais kwa sasa sio lake. Labda 2020, taasisi imemuangusha.
Nitampigia kura Magufuli na CCM yake kwa sababu CHADEMA siwaamini na ni waongo ila Magufuli naona kama namuamini.
Lowassa Mungu anajua kama ni fisadi au la na kama si kweli basi Mungu amjaze hekima na ujasiri na afya tele, ila suala la urais kwa sasa sio lake. Labda 2020, taasisi imemuangusha.