CHADEMA HAWAAMINIKI. Yes I said

hama kwel umekurupuka kaa chn ufkr,maana ungeangalia taarfa ya habar ya jana ucngeongea haya unayoongea na kuadika,ungemsikiliza mbowe na lema nafkr ungeelewa ucngeandika upuuzi huu!!!!!!!
 
"I thought hii ni forum ya the inteligent ones, kumbe ni forum ya Chadema, I do not support neither parties, Lakini what i see here ni Biasness, akiyukanwa wa ccm , wengi wamapiga vigelegel, Chadema ikiguswa kidogo MARUNGU MIKONONI. fOR YOUR INFORMATION Chadema has its short commings also. Yes wamekua na kigeugeu Arusha, na hatukubali kuharibiwa mji wetu"Huyu ni yule mbeba mbuzi mgongoni karudi na staili nyingine ya kutokuwa na chama. Jahazi la CDM linakata maji kwa kasi kuelekea magogoni!!
da hicho kingereza ''i do not support neither party''
 
IPTL,DEEP GREEN,KAGODA,MEREMETA,DOWANS,RICHMOND,STIMULUS PACKAGE,KIWIRA"Hawa ndo wanaaminika"
 
Ahahahah!! Nikipata muda taipitia
Kijana mbona unaweweseka na mimi? unadhani mimi kutokuwepo hapa JF kwa kitambo unadhani hii ni multi ID ya mtu mwingine? wewe kama huna shughuli za kufanya ndio utakaa hapa JF 24/7. mimi ni mtu mzima na nina familia inahitaji nitoe huduma na sio kuja kutumiwa na wanasiasa hapa JF.
So watch ur mouth.
 
kuna uwezkano kukuwa na ugumu wa kufanya maamuzi naomba kila mjumbe aliejaribu na kua katika majadiliano au ni wale madiwani ambao chama changu na dr kilisema wanatakiwa kuonywa
 
Kijana mbona unaweweseka na mimi? unadhani mimi kutokuwepo hapa JF kwa kitambo unadhani hii ni multi ID ya mtu mwingine? wewe kama huna shughuli za kufanya ndio utakaa hapa JF 24/7. mimi ni mtu mzima na nina familia inahitaji nitoe huduma na sio kuja kutumiwa na wanasiasa hapa JF.
So watch ur mouth.

Hahahahaha Jamaa kiazi huyo! kanipachika ID ya Mchungaji Masanilo na ya Saigon, Kumkata ngebe nimempa kuwa nina ID 23, Kamikaze Tactics
 
Hatimaye zimepaki siku 9 za wale watu wa magamba kujivua gamba,hatujaona chochote kile mpaka sasa,hii ni aibu ya NAPE,MKAMA,MKWEREE.
 
Kwa Imani yangu nilijua watu wanaochambua siasa hasa matukio yanaendelea kujitokeza kuhusu mambo yasiyofurahisha ndani ya CCM ni watu wanaopenda mstakabali wa nchi yetu uende vizuri kumbe ni ile ya kipendacho roho ula nyama mbichi ile dogo la umeya wa Arusha mnashindwa kulijadili kwa kina mnaanza kejeli.

Kama mnapenda ustawi wa nchi kimeeni yote yajitokezayo bila kujali limetoka upande upi, km CDM imejichanganya katika hili tukubali hakuna haja ya kutoleana kashfa ama kwa HAKIKA KTK HILI CHADEMA HAWAAMINIKI, na linalonitia hofu zaidi mpaka washabiki wao wanaojifanya JF walizaliwa nayo au walituma maombi kwa njia ya posta HAWAAMINIKI PIA sababu hawapendi ukweli.
Wewe ndiye huaminiki na MAGAMBA wenzako mana zimebaki siku 9 za kujivua gamba na hakuna lolote,KAGODA,MELEMETA,DEEP GREEN,MINING DEVELOPMENT,RICHMOND,EPPA,vyote hivyo watu wa magamba nani atawaamini,ANGUKO LA CCM LIMETIA.
 
Kwa kawaida uongo huwa hauna uwezo wa kuhimili test of time. Leo asubuhi nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikakutana na habari ambayo imenishtua ya kwamba CHADEMA wamekana muafaka wa Umeya wa Arusha. Alipoulizwa Mbowe akajibu kuwa wanafanya uchunguzi juu ya suala hilo huku Lema akisema kuwa hatambui muafaka huo. Kitendo cha kutokuwepo kwa kauli thabiti inayoonekana kuwa imetokana na azimio la kikao rasmi, ni kielelezo cha kutoaminika kwa CHADEMA. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo: Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!

Sasa wewe na CHADEMA nani haaminiki? watu wengine bwana sijui mna matatizo gani..Acheni kuwa watumwa wa CCM na uchafu wake....
 
Hahahahaha Jamaa kiazi huyo! kanipachika ID ya Mchungaji Masanilo na ya Saigon, Kumkata ngebe nimempa kuwa nina ID 23, Kamikaze Tactics
Ahahahaha!! Nimecheka! Mbona unaangaika naona unaandika post halafu unajibu mwenyewe! Ahahahah! Rev Masanilo bana!!
 
Kijana mbona unaweweseka na mimi? unadhani mimi kutokuwepo hapa JF kwa kitambo unadhani hii ni multi ID ya mtu mwingine? wewe kama huna shughuli za kufanya ndio utakaa hapa JF 24/7. mimi ni mtu mzima na nina familia inahitaji nitoe huduma na sio kuja kutumiwa na wanasiasa hapa JF.So watch ur mouth.
Habari yako bana! Rev Masanilo aina majotooooo!! Unanikumbusha ile stori ya Nyerere na Kawawa!! Ahahahaha!!
 
Sasa wewe na CHADEMA nani haaminiki? watu wengine bwana sijui mna matatizo gani..Acheni kuwa watumwa wa CCM na uchafu wake....

Mkuu hawa cku yao inakuja tu wasubiri ccm yao iwafie mikononi.
 
Kwa kawaida uongo huwa hauna uwezo wa kuhimili test of time. Leo asubuhi nilikuwa naangalia taarifa ya habari nikakutana na habari ambayo imenishtua ya kwamba CHADEMA wamekana muafaka wa Umeya wa Arusha. Alipoulizwa Mbowe akajibu kuwa wanafanya uchunguzi juu ya suala hilo huku Lema akisema kuwa hatambui muafaka huo. Kitendo cha kutokuwepo kwa kauli thabiti inayoonekana kuwa imetokana na azimio la kikao rasmi, ni kielelezo cha kutoaminika kwa CHADEMA. Nasema hivi kwa sababu zifuatazo: Kwanza, taarifa za kuwepo kwa muafaka tumezipata siku nyingi zilizopita. Kama muafaka huo ungekuwa ni batili, CHADEMA wangeukana immediately au hata kabla ya kufanyika kwa uchaguzi wa Naibu Meya. Pili, kuna tofauti kubwa sana katika kauli kati ya Mbowe na Lema kitendo kinachoashiria kuwa kuna misimamo tofauti kati ya Mbowe na Lema. Tatu, inaonekana kuwa CHADEMA hawana shida na maendeleo bali wanataka mapinduzi bila ya kujali gharama zake. CDM wanatuhadaa! Hawaaminiki!!

Kwa swala hili, esp kwa madiwani ni tatizo kubwa sana either hapo kuna mkono wa mtu kwani madiwani wengi wa chadema nao ni njaaaa nalisema hili na liko wazi nchi hii kuna wengine nao ni kama msfara wa mamba kenge wamo ndipo hapo wanapo halibu spirit of struggle.

Sasa CDM ndio wajionee sasa kuna watu walisha rubuniwa jamani haiwezekani mkawa mko kwa vikao vya muafaka then makubaliano yakapitishwa then nyie madiwani hamjalichukuwa hili swala kwa viongozi wenu either CCM,TLP,CDM matokeo yake hao hao madiwani ndio wakawa wawakilishi wa viongozi wao na kubariki muafaka bila viongozi wao wa juu, huku hawa madiwani wame sahau kulikuwa na mauaji ya raia ni kitu gani hiki? still hakiingii akili mwa watu Mhs.LEMA sio mjinga kutokutambua huo muafaka watu mtadhania ni mkorofi bali sio hali halisi ni kuwa kuna jambo limetembea/tendeka chini chini kwa madiwani hapo na chakushangaza muafaka gani watu wame maliza kukubaliana na siku hiyo hiyo kukawa na part jioni ya kusherehekea huo muafakaa this is zero kabisa hao walio ubariki muafaka watuambie kwanini walikimbilia kwa Meadia? na kwataarifa yenu vyombo vya habari hapo arusha ni vichache sana vinavyo tizama maslahi ya wananchi bali vingine ni kukesha na kuingia maofisini mwa watu na kupewa umbea na posho kuandika habari, wananchi wanategemea vyombo vya habari kufikisha ujumbe wa manufaa kwa wananchi na sio kuwarubuni.

Media hapo arusha muamke acheni kuwa watumwa wa kundi la watu fulani kuweni wazi acheni kuganga njaaa, hebu jifunzeni kwa wenzetu hapo Kenya na Uganda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom