Chadema Hapa mmebugi. Kubalini matokeo

Chadema Hapa mmebugi. Kubalini matokeo

Siasa n upendoo mtu anaruhusiwa kuhama ama kuhamia chama anachotaka
Mlikodi na mabasi na helicopter SIKU lowassa anaingia lwenu CCM awakupiga KELELE

Like wise zamu yenu mkiona hamahamaa inaendelea msihukumu tafuteni udhaifu ukowapi kwann watuwaliokuwa na hadhi zaoo wahame .....

Poleni sana kinachotokea march12-15 April hio gharika IPO mtalia kabisa watakaohama hukooView attachment 1364570
Ni muhimu sasa akina Mbowe na Lissu wajitathmini wenyewe kama bado wana uhalali wa kuwa viongozi baada ya kukiuza chama kwa maccm kijinga vile?
Hivi aliyekuwa na akili ni Dr wakati ule ni Dr tu?
 
Hata makanisani pia kuna watu wanaasi na kurejea tena kwenye mabaa. That's normal.
Shida ya hawa, waliasi kwa kusaidiwa na Askofu mkuu wa kanisa na wachungaji wake.
Waumini tumebaki njia panda.
 
Nasubiri kwa hamu nisikie kwenye kampeni huyu Jiwe anasemaje kuhusu majizi yaliyokimbilia Chadema na sasa yamekimbilia CCM, anatoa kauli gani?
 
Nani ambaye analalamika hao jamaa kuhama?Ccm ndio wanalalamika wapinzani kuhama lakini hakuna anayelalamika zaidi sisi tunafurahia tu maana kwanza wana utoto kisiasa,wana akili kisoda.Hakuna akili kubwa kutoka upinzani iliyohama wengine wote ni vilaza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni akili au matope?

Yani mtu alikuwa mgomea urais, mwingine katibu mkuu na mliwadekia hata barabara, leo unawaita wana akili kisoda?

Acha mbowe aendelee kujilia ruzuku maana mijitu anayoiongoza ipo kama mizoga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom