Ni muhimu sasa akina Mbowe na Lissu wajitathmini wenyewe kama bado wana uhalali wa kuwa viongozi baada ya kukiuza chama kwa maccm kijinga vile?Siasa n upendoo mtu anaruhusiwa kuhama ama kuhamia chama anachotaka
Mlikodi na mabasi na helicopter SIKU lowassa anaingia lwenu CCM awakupiga KELELE
Like wise zamu yenu mkiona hamahamaa inaendelea msihukumu tafuteni udhaifu ukowapi kwann watuwaliokuwa na hadhi zaoo wahame .....
Poleni sana kinachotokea march12-15 April hio gharika IPO mtalia kabisa watakaohama hukooView attachment 1364570
Hivi aliyekuwa na akili ni Dr wakati ule ni Dr tu?