Chadema Hapa mmebugi. Kubalini matokeo

Chadema Hapa mmebugi. Kubalini matokeo

BASIASI

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2010
Posts
9,732
Reaction score
5,009
Siasa n upendoo mtu anaruhusiwa kuhama ama kuhamia chama anachotaka
Mlikodi na mabasi na helicopter SIKU lowassa anaingia lwenu CCM awakupiga KELELE

Like wise zamu yenu mkiona hamahamaa inaendelea msihukumu tafuteni udhaifu ukowapi kwann watuwaliokuwa na hadhi zaoo wahame .....

Poleni sana kinachotokea march12-15 April hio gharika IPO mtalia kabisa watakaohama hukoo
IMG-20200221-WA0020-742x1024.jpg
 
Likewise na ccm walivyo kuwa wanawatukana wale walio kuwa wanahamia upinzani na kuwaita majina ya ajabu ajabu na wale vijana wao wa mitandaoni wakawatukana kina Lowasa.

Ukiwa muongo usiwe msahaulifu kuleni matapishi yenu tu
Siasa n upendoo mtu anaruhusiwa kuhama ama kuhamia chama anachotaka
Mlikodi na mabasi na helicopter SIKU lowassa anaingia lwenu CCM awakupiga KELELE

Like wise zamu yenu mkiona hamahamaa inaendelea msihukumu tafuteni udhaifu ukowapi kwann watuwaliokuwa na hadhi zaoo wahame .....

Poleni sana kinachotokea march12-15 April hio gharika IPO mtalia kabisa watakaohama hukooView attachment 1364570

In God we Trust
 
Likewise na ccm walivyo kuwa wanawatukana wale walio kuwa wanahamia upinzani na kuwaita majina ya ajabu ajabu na wale vijana wao wa mitandaoni wakawatukana kina Lowasa.

Ukiwa muongo usiwe msahaulifu kuleni matapishi yenu tu

In God we Trust
kamanda mnatafuna vyuma lazima memo yang'oke
 
Kung'oka mmeanza nyinyi maana tayari mmekula matapishi yenu hasa wewe ambaye ulikuwa unamtukana sana mzee Lowasa matusi ya nguoni.

Lkn sasa hivi mwenyekiti wenu kaamua kukung'oa meno yako kwa kumrudisha lowasa ndani ya ccm.

In God we Trust
mkikaza shingo zitakatika,karma inawatafuna, Mbowe ni Mrema ajaye mwaka 2025
 
Post mzuri sana
Nani ambaye analalamika hao jamaa kuhama?Ccm ndio wanalalamika wapinzani kuhama lakini hakuna anayelalamika zaidi sisi tunafurahia tu maana kwanza wana utoto kisiasa,wana akili kisoda.Hakuna akili kubwa kutoka upinzani iliyohama wengine wote ni vilaza tu

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
CC:Wakudadavua
Nani ambaye analalamika hao jamaa kuhama?Ccm ndio wanalalamika wapinzani kuhama lakini hakuna anayelalamika zaidi sisi tunafurahia tu maana kwanza wana utoto kisiasa,wana akili kisoda.Hakuna akili kubwa kutoka upinzani iliyohama wengine wote ni vilaza tu

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Mimi huwa nacheka sana nikisoma hizi siasa uchwara yaani siku Lowassa anaingia chadema protoco ilivunjwa na mwenyekiti akaenda kumpokea Lowassa wakati hakuna hata mwanachama...!!!

Leo tunaambiwa ana akili kisoda sasa kati ya Lowassa na mbele nani ana akili kusoma?

Na mwenyekiti anasema alichoangalia ni Lowassa kaja na mtaji sasa huo mtaji hayo yanayotokea si ndio majibu yake?
Nani ambaye analalamika hao jamaa kuhama?Ccm ndio wanalalamika wapinzani kuhama lakini hakuna anayelalamika zaidi sisi tunafurahia tu maana kwanza wana utoto kisiasa,wana akili kisoda.Hakuna akili kubwa kutoka upinzani iliyohama wengine wote ni vilaza tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siasa n upendoo mtu anaruhusiwa kuhama ama kuhamia chama anachotaka
Mlikodi na mabasi na helicopter SIKU lowassa anaingia lwenu CCM awakupiga KELELE

Like wise zamu yenu mkiona hamahamaa inaendelea msihukumu tafuteni udhaifu ukowapi kwann watuwaliokuwa na hadhi zaoo wahame .....

Poleni sana kinachotokea march12-15 April hio gharika IPO mtalia kabisa watakaohama hukooView attachment 1364570

Mbowe aliliona hilo mapema na ndiyo maana walipotaka kuingia ndani zaidi li wakamate chama, akashtuka na kuwaambia wajumbe kuwa sumu hailambwi, na huwezi kikiachia chama watu wasio kuwa na uchungu nacho maana hicho chama kimejengwa kwa jasho na kwa damuza watu wengi.
 
Mbowe aliliona hilo mapema na ndiyo maana walipotaka kuingia ndani zaidi li wakamate chama, akashtuka na kuwaambia wajumbe kuwa sumu hailambwi, na huwezi kikiachia chama watu wasio kuwa na uchungu nacho maana hicho chama kimejengwa kwa jasho na kwa damuza watu wengi.
Mapema ilikuwa 2015 lakini akaingia cha kike....!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa nacheka sana nikisoma hizi siasa uchwara yaani siku Lowassa anaingia chadema protoco ilivunjwa na mwenyekiti akaenda kumpokea Lowassa wakati hakuna hata mwanachama...!!!

Leo tunaambiwa ana akili kisoda sasa kati ya Lowassa na mbele nani ana akili kusoma?

Na mwenyekiti anasema alichoangalia ni Lowassa kaja na mtaji sasa huo mtaji hayo yanayotokea si ndio majibu yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
Utasemaje hili kutoka chama lizee?
IMG-20200212-WA0013.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom