Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,041
- 12,531
CCM walifuata utaratibu wa kupata clearance na kuruhusiwa kabla ya kwenda, huwezi kwenda ovyo ovyo bila security clearance hasa unapokuwa bingwa wa kudhihaki vyombo vya ulinzi na usalama. Akina Halima walivyotoka gerezani na wenzake walianza kuropoka kuwadhihaki magereza na hivyo ni viashiria vya uvunjifu wa amani kitu ambacho uwepo wao maeneo ya magereza ni hatari kwa usalama wa wafungwa ndiyo maana they were iced (Zootopia)Kama ccm wanaruhusiwa kuingia ndani ya gereza kutoa mtu wao kwanini chadema wanyimwe haki ya kusogelea mlango wa gereza? chanzo cha tatizo ni ccm na serikali yake.