Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,516
- 113,645
Wanabodi,
Haya ninayoyaandika hapa, yanatoka ndani kabisa ya moyo wangu na ninaandika kwa uchungu!, kwa mtu yoyote ambaye alikuwa na matumaini ya labda 2015, tunaweza kupata mabadiliko, akiangalia hii trend ya Chadema inayokwenda nayo sasa, atakubaliana na mimi, kuwa the trend is not good at all!, 2015 is just around the corner!, I'm afraid, by the time Chadema ita realize imefanya nini, ilipaswa kufanya nini, sasa inafanya nini, na 2015 itafanya nini!, it will be too little too late!, huu ni ukweli mchungu sana kumeza, kuwa Chadema Haikujipanga (jana), Chadema Haijajipanga (leo), Chadema Haijipangi (kesho), na amini nawaambieni!, Chadema Haitajipanga (2015), hivyo huu ni ukweli mchungu kweli kweli kumeza kuwa 2015, ni CCM Tena!.
Tangu 2010, Chadema Hamkujipanga!.
Mara Baada ya kumalizika uchaguzi mkuu wa 2010, uliofufua kwa kiwango kikubwa matumaini ya uwezekano wa Chadema kuchukua nchi, 2015, mimi ni miongoni mwa wana jf wa mwanzo kutinga viwanja vya Bunge Dodoma, kuwapongeza baadhi ya makamanda waliokata vigogo wa CCM!, nikatoa tathimini yangu kuwa kwenye baadhi ya maeneo, Chadema imeshinda uchaguzi, sio kwa sababu ilijipanga vizuri!, no!, nikasema Chadema imeshinda uchaguzi katika baadhi ya maeneo kwa sababu tuu CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga!. hapa Chadema niliwaambia hivi
Hakuna ubishi kuhusu kitakachompata yoyote atakayeteta ukosoaji wa Chadema humu jukwaani, na mimi ndicho kilichonikuta, na miongoni mwa walionijibu uzi wangu huo, ni Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Wibrod Silaa, alinijibu hivi
Hii maana yake ni nini, Chadema wakiambiwa ukweli, badala ya kusikiliza hoja na kuzifanyia kazi, wao ndio kwanza wana react na hawasikii!, kwenye uzi huo, hoja kuu nilisema Chadema isiendelee kutegemea kutwaa majimbo kwa sababu tuu CCM imechokwa!, ili Chadema ishinde kihalali very good clear and sweet victory, ni pale wananchi wanapokuwa wamehamasika na kufanya informed decision kuwa tunaichagua Chadema kwa sababu hizi, hizi na hizi, hivyo Chadema lazima ije na mkakati, itafanya nini tofauti na kinachofanywa na serikali ya CCM, ili wanaoichagua, wajione wanachagua chama mbadala.
CCM Imechokwa:
Kwenye uzi huo nilisema CCM imechokwa lakini imekuwa ikishinda chaguzi mbalimbali sio kwa sababu inapendwa sana!, no way, nilisema CCM imekuwa ikishinda chaguzi nyingi kutokana na mazoea, huku iki take advantage ya ignorance ya Watanzania, hawana choice to choose from kwa kushindanisha sera, kutokana na ujinga, na umasikini uliotopea, wengi wa wapiga kura, hawanauwezo wa kushindanisha sera, wala kujua wanachagua kwa sababu gani, bali wanachagua kwa "shibe" ya leo!, yeyote atakayekushibisha leo, huyo ndie!, hata kama atakulaza tena njaa miaka mitano ijayo, na ikifika, kama kawaida atarudi tena na T-shirt na kofia na ile shibe ya siku moja!, tutaichagua tena!, kama sio ignorance ni nini?!.
Kwenye uzi huo nilipendekeza dawa ya kuitibu CCM iliyochokwa kama ifuatavyo
Hakuna mwana CCM yoyote aliyekanusha kuchokwa kwa CCM, lakini haukupita muda, hiyo dose niliyoipendekeza ilidungwa CCM!, wala sijitambi kuwa CCM inafuatilia jf, au ndio chanzo cha mabadiliko hayo chanya, ukiona mbeba pakacha linavunja, ukamshtua mbebaji kuwa pakacha linavuja, akasimama kivulini na kuliziba kisha akaendelea na safari yake!, wewe unaweza kujiaminisha kuwa nimemsaidia yule mbeba paka kumtaarifu kuvuja kwa pakacha lake!, kumbe ukweli ni kuwa mbemba pakacha ulijua pakacha linavuja lakini akapanga ngoja afike kivulini ndipo alitue kuliziba na kupumzika kidogo!, hivyo useme usisema mabadiliko yangekuja!.
Kufuatia mabadiliko ya sasa ya CCM, 2015, Chadema isitegemee majimbo ya ubwete wa CCM chovu, na tena isipokuwa makini na baadhi ya wabunge wake haswa wale "vichaa!", CCM inaweza kuwapokonya, only save kwa baadhi ya maeneo ambayo machalii wa kipande hiyo, vichaa ndio huwa machaguo yao,hivyo kwa kadri unavyozidi kuwa kichaa ndivyo unavyozidi kupendwa na kukubalika!.
Uso kwa Uso na Dr. Slaa!.
Niliwahi kwenda ofisini kwa Dr. Slaa for official visit, wakati huo nikiwa utumwani kwenye utumwa fulani, hivyo unapokuwa mtumwa, ukitumwa mahali, unawakilisha kile ulichotumwa na bwana wako aliyekutuma, hivyo sijihesabu kama mimi nilionana na Dr. Slaa!.
Siku tulionana rasmi na kwa nafasi, ni pale tulipokutana tuu mahali, sote tukiwa safarini, tukatokea kujipumzisha mahali na kupata mlo, hivyo kukutana kwa bahati!.
Kwa vile mimi ni mwandishi, kwanza nilimkabili, na kuamsalimia huku nikitanguliza kuomba radhi, maana mahali hapo ni privacy ya mtu, na watu wako na watu wao, hivyo mwandishi kupenyeza penyeza pua its uncalled for!, ila nikakaribishwa!.
Nakumbuka vuzuri nilimweleza resevations zangu kwa "Chadema kutokujipanga" na haswa kuhusu utaratibu wake wa kupata viongozi wake na wagombea!.
Nilisema nimenote wengi wa wagombea wao, ni wagombea sadakalawe!, baada ya kukosa kwenye ile sadalawe ya kule, then hukimbilia huku na ndivyo Dr. alivyoingia Chadema. Nikasema huwezi kushinda uchaguzi na kushika dola kama hauna able people behind!. Nikashauri, kama kweli Chadema kina nia ya dhati ya kushika dola 2015, lazima kitayarishe watu, by investing in people, hakiwezi kushika dola kwa kuwategemea wagombea wanaopatikana kwa game of chance!. Lazima Chadema ifanye "head hunting" ya able people na ikikosa "able people", ifanye hata spotting na grooming from grassroot, ili ijenge kada yake ya viongozi iliyowalea na kuwakuza kichadema, ambao hawa watakuwa ni waaminifu na tegemeo lake, na sio kusubiria "makapi" ya CCM!.
Kusema ukweli, Dr. Slaa alinieleza a very fine na promising strategies, zikiwemo succession plan, pia alinieleza msimamo wake binafsi kuhusu kugombea tena urais 2015!, hivyo mimi ni mmoja wa watu wachache sana wanaujua msimamo wa Dr. Slaa kwenye kugombea urais 2015 from the horses mouth!. (Naomba nisiutaje humu kwa sababu mazungumzo yetu yalikuwa informal hivyo ni off the record).
Chadema Haijajipanga!.
Matokeo mabaya Chadema katika baadhi ya chaguzi ndogo za ubunge na udiwani, ni uthibitisho kuwa Chadema bado haijajipanga!. Hata ushindi wa Chadema Arumeru kwa kijana Nasari, umechangiwa na support ya vita vya wenyewe kwa wenyewe CCM ndani kwa ndani kulikomoa chaguo la yule "jamaa yangu". Kama wengi mtakuwa na maswali, Chadema ijipange kwenye nini, mnaweza kunitembelea hapa nimeeleza kila kitu!. Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If ...
Chadema Hamjipangi!.
Hata baada ya kipigo kitakatifu cha Kalenga, kuna kitu nimewashauri Chadema kuhusu uchaguzi wa Jimbo la Chalinze!, ili Chadema kujionyesha chenyewe ni kidume, au kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi, bado itang'ang'ana na kuendelea kutumbukiza pua Chalinze!, angalau kwa Kalenga picha ilikuwa haisomeki sana!, Chalinze ndio maeneo ya strong hold ya wale vibonde niliowazungumzia kule ambao ndio mtaji wa CCM!. Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze: CHADEMA Muungeni mkono mgombea ...
Uchaguzi kama vita!, ukijijua huwezi kushinda, ule msemo wa "no retreat, no surrender" wa "kupigana hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike!" huo ndio huo unaitwa "ushujaa!" alikufa vitani akiipigania nchi yeke!, mkiisha malizika wote, adui atapata walk over victory kuitwaa nchi yenu yote na nyinyi nyote kugeuka mateka!. Wapiganaji makini ni wale wakishajipima na kujiona hawawezi, hurudisha majeshi nyuma (retreat) na kujipanga upya!.
Chadema wakikubali ku retreat na kujipanga upya, wata boost kidogo morali ya wapiganaji wake, kiliko kuendelea kupeleka vikosi vyake vitani na kuishia kuwa wiped!.
Na Kwa 2015!, Chadema Haitajipanga!.
Kwa maoni yangu, Bunge hili Maalum, likifuatiwa na kikao cha Bunge, then kura ya maoni, then uchaguzi wa serikali za mitaa!, then uchaguzi wa ndani wa Chadema (uongozi uliopo madarakani kwa mujibu wa katiba ya Chadema, umalizika mwaka huu baada ya kuuongezea mwaka mmoja!, katiba ya Chadema haikutoa any possibility ya extra extension, japo uongozi wa Chadema unaweza kumuandikia Msajili na kulitaja Bunge Maalum ni "force majeure" hivyo kutofanya uchaguzi wake wa ndani kihalali kabisa!". Ndipo ufuate uchaguzi mkuu, huku kuna ile pending case!!. Kikweli kabisa, my honest opinion, kwa time iliyobakia kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015, mambo yaliyopo mbele ya Chadema ni too much! kwa Chadema kujipanga and the time is too little too late!, hivyo naiona wazi kabisa CCM ikirudi kujichukulia nchi kiurahisi kama imeokota!.
Hitimisho: Chadema na "Karma!"
Namalizia kwa kusisitiza, Chadema katika kupanga mambo yenu, zingatieni sana hii kitu inaitwa "Karma", msiidharau kabisa!, karma is real!.
Do the right thing or else!.
Poleni kwa ya Kalenga!.
Jipangeni
Paskali
NB. Paskali, ni mwanachama wa chama cha siasa na mtazamaji mzuri tuu wa hii game la siasa kazi yake ikiwa kutazama tuu!, na kueleza, na kutoa ushauri wa bure!.
Haya ninayoyaandika hapa, yanatoka ndani kabisa ya moyo wangu na ninaandika kwa uchungu!, kwa mtu yoyote ambaye alikuwa na matumaini ya labda 2015, tunaweza kupata mabadiliko, akiangalia hii trend ya Chadema inayokwenda nayo sasa, atakubaliana na mimi, kuwa the trend is not good at all!, 2015 is just around the corner!, I'm afraid, by the time Chadema ita realize imefanya nini, ilipaswa kufanya nini, sasa inafanya nini, na 2015 itafanya nini!, it will be too little too late!, huu ni ukweli mchungu sana kumeza, kuwa Chadema Haikujipanga (jana), Chadema Haijajipanga (leo), Chadema Haijipangi (kesho), na amini nawaambieni!, Chadema Haitajipanga (2015), hivyo huu ni ukweli mchungu kweli kweli kumeza kuwa 2015, ni CCM Tena!.
Tangu 2010, Chadema Hamkujipanga!.
Mara Baada ya kumalizika uchaguzi mkuu wa 2010, uliofufua kwa kiwango kikubwa matumaini ya uwezekano wa Chadema kuchukua nchi, 2015, mimi ni miongoni mwa wana jf wa mwanzo kutinga viwanja vya Bunge Dodoma, kuwapongeza baadhi ya makamanda waliokata vigogo wa CCM!, nikatoa tathimini yangu kuwa kwenye baadhi ya maeneo, Chadema imeshinda uchaguzi, sio kwa sababu ilijipanga vizuri!, no!, nikasema Chadema imeshinda uchaguzi katika baadhi ya maeneo kwa sababu tuu CCM Imechokwa; CHADEMA Haijajipanga!. hapa Chadema niliwaambia hivi
Hakuna ubishi, Chadema imenyanyuka, toka wabunge 5 mpaka 22 wa kuchaguliwa tena majimbo ya haja, huku sio kukua bali ni kupaa, tatizo kubwa la Chadema, bado hawajipanga.
Kichama, wanachadema mkubali msikubali, chama chenu japo kipo juu, lakini bado hamjajipanga kwa sura ya kitaifa au mkao wa kutawala nchi.
Kwa vile CCM imekaa mkao wa kifo, hii ndio opportunity yenu kujipanga muwe na sura ya kitaifa, kuonyesha ukomavu na utayari wa kutawala, Watanzania wawamini wawakabidhi nchi mwaka 2015.
Hakuna ubishi kuhusu kitakachompata yoyote atakayeteta ukosoaji wa Chadema humu jukwaani, na mimi ndicho kilichonikuta, na miongoni mwa walionijibu uzi wangu huo, ni Katibu Mkuu wa Chadema, Dr. Wibrod Silaa, alinijibu hivi
Kiukweli baada ya jibu hili, mimi nikaishia kuwa mdogo tuu kama piriton, ukijumlisha na comments wa wengine, kwa kweli nilikuwa kama sisimizi!.PASCO,
Mwanajamvi nimefurahi sana kujitambulisha kama Political analyst. Ningelifurahi sana kusaidia Taifa lako kama analist kama ungelitusaidia yafuatayo:
i) Utafuti unaonyesha nini duniani kuhusu Leader of the Opposition katika mifumo ya mabunge yaliyoko Duniani. Kwa mtu yeyote anayefanya analysis angelitegemea kuona American Model na WestMinster Model zinaeleza nini. Analysis yako ime base kwa personalities badala ya Model na analysis ya aina hii kwa maoni yangu ni ya hatari sana kwa kuwa inakosa misingi ya kisayansi. Politics is science and should never be reduced to anything less than empirical analysis to be scientific.
ii) Analysis yako imetoa Conclusions kabla ya kujenga plausible major and minor. Scientific and logical conclusion can only be based on a well founded "major and minor". Ili tunaofuatilia tuweze kunufaika na analysis yako ningelitegemea a properly constitued logical arugement inayofuata clasical logical construction ambayo ndio msingi wa analysis yoyote ambayo ni credible.
Natanguliza shukrani za dhati, na ninategemea kupata objective political analysis ya mapendekezo yako.
Mungu Ibariki Tanzania.
Hii maana yake ni nini, Chadema wakiambiwa ukweli, badala ya kusikiliza hoja na kuzifanyia kazi, wao ndio kwanza wana react na hawasikii!, kwenye uzi huo, hoja kuu nilisema Chadema isiendelee kutegemea kutwaa majimbo kwa sababu tuu CCM imechokwa!, ili Chadema ishinde kihalali very good clear and sweet victory, ni pale wananchi wanapokuwa wamehamasika na kufanya informed decision kuwa tunaichagua Chadema kwa sababu hizi, hizi na hizi, hivyo Chadema lazima ije na mkakati, itafanya nini tofauti na kinachofanywa na serikali ya CCM, ili wanaoichagua, wajione wanachagua chama mbadala.
CCM Imechokwa:
Kwenye uzi huo nilisema CCM imechokwa lakini imekuwa ikishinda chaguzi mbalimbali sio kwa sababu inapendwa sana!, no way, nilisema CCM imekuwa ikishinda chaguzi nyingi kutokana na mazoea, huku iki take advantage ya ignorance ya Watanzania, hawana choice to choose from kwa kushindanisha sera, kutokana na ujinga, na umasikini uliotopea, wengi wa wapiga kura, hawanauwezo wa kushindanisha sera, wala kujua wanachagua kwa sababu gani, bali wanachagua kwa "shibe" ya leo!, yeyote atakayekushibisha leo, huyo ndie!, hata kama atakulaza tena njaa miaka mitano ijayo, na ikifika, kama kawaida atarudi tena na T-shirt na kofia na ile shibe ya siku moja!, tutaichagua tena!, kama sio ignorance ni nini?!.
Kwenye uzi huo nilipendekeza dawa ya kuitibu CCM iliyochokwa kama ifuatavyo
Dawa pekee ya kuitibu CCM, ni kuirevamp CCM completely, task nambari moja ni Makamba should go first with his old guards team. Msisubiri mpaka uchaguzi mkuu wa chama chenu, miaka miwili ijayo (2012), itakuwa too late. If you are to do anything, doi it now and fast!. Leteni fresh blood kina January type, Kippi, Nape type and the like ambao wanaweza siasa za kisasa za dot com type.
Hakuna mwana CCM yoyote aliyekanusha kuchokwa kwa CCM, lakini haukupita muda, hiyo dose niliyoipendekeza ilidungwa CCM!, wala sijitambi kuwa CCM inafuatilia jf, au ndio chanzo cha mabadiliko hayo chanya, ukiona mbeba pakacha linavunja, ukamshtua mbebaji kuwa pakacha linavuja, akasimama kivulini na kuliziba kisha akaendelea na safari yake!, wewe unaweza kujiaminisha kuwa nimemsaidia yule mbeba paka kumtaarifu kuvuja kwa pakacha lake!, kumbe ukweli ni kuwa mbemba pakacha ulijua pakacha linavuja lakini akapanga ngoja afike kivulini ndipo alitue kuliziba na kupumzika kidogo!, hivyo useme usisema mabadiliko yangekuja!.
Kufuatia mabadiliko ya sasa ya CCM, 2015, Chadema isitegemee majimbo ya ubwete wa CCM chovu, na tena isipokuwa makini na baadhi ya wabunge wake haswa wale "vichaa!", CCM inaweza kuwapokonya, only save kwa baadhi ya maeneo ambayo machalii wa kipande hiyo, vichaa ndio huwa machaguo yao,hivyo kwa kadri unavyozidi kuwa kichaa ndivyo unavyozidi kupendwa na kukubalika!.
Uso kwa Uso na Dr. Slaa!.
Niliwahi kwenda ofisini kwa Dr. Slaa for official visit, wakati huo nikiwa utumwani kwenye utumwa fulani, hivyo unapokuwa mtumwa, ukitumwa mahali, unawakilisha kile ulichotumwa na bwana wako aliyekutuma, hivyo sijihesabu kama mimi nilionana na Dr. Slaa!.
Siku tulionana rasmi na kwa nafasi, ni pale tulipokutana tuu mahali, sote tukiwa safarini, tukatokea kujipumzisha mahali na kupata mlo, hivyo kukutana kwa bahati!.
Kwa vile mimi ni mwandishi, kwanza nilimkabili, na kuamsalimia huku nikitanguliza kuomba radhi, maana mahali hapo ni privacy ya mtu, na watu wako na watu wao, hivyo mwandishi kupenyeza penyeza pua its uncalled for!, ila nikakaribishwa!.
Nakumbuka vuzuri nilimweleza resevations zangu kwa "Chadema kutokujipanga" na haswa kuhusu utaratibu wake wa kupata viongozi wake na wagombea!.
Nilisema nimenote wengi wa wagombea wao, ni wagombea sadakalawe!, baada ya kukosa kwenye ile sadalawe ya kule, then hukimbilia huku na ndivyo Dr. alivyoingia Chadema. Nikasema huwezi kushinda uchaguzi na kushika dola kama hauna able people behind!. Nikashauri, kama kweli Chadema kina nia ya dhati ya kushika dola 2015, lazima kitayarishe watu, by investing in people, hakiwezi kushika dola kwa kuwategemea wagombea wanaopatikana kwa game of chance!. Lazima Chadema ifanye "head hunting" ya able people na ikikosa "able people", ifanye hata spotting na grooming from grassroot, ili ijenge kada yake ya viongozi iliyowalea na kuwakuza kichadema, ambao hawa watakuwa ni waaminifu na tegemeo lake, na sio kusubiria "makapi" ya CCM!.
Kusema ukweli, Dr. Slaa alinieleza a very fine na promising strategies, zikiwemo succession plan, pia alinieleza msimamo wake binafsi kuhusu kugombea tena urais 2015!, hivyo mimi ni mmoja wa watu wachache sana wanaujua msimamo wa Dr. Slaa kwenye kugombea urais 2015 from the horses mouth!. (Naomba nisiutaje humu kwa sababu mazungumzo yetu yalikuwa informal hivyo ni off the record).
Chadema Haijajipanga!.
Matokeo mabaya Chadema katika baadhi ya chaguzi ndogo za ubunge na udiwani, ni uthibitisho kuwa Chadema bado haijajipanga!. Hata ushindi wa Chadema Arumeru kwa kijana Nasari, umechangiwa na support ya vita vya wenyewe kwa wenyewe CCM ndani kwa ndani kulikomoa chaguo la yule "jamaa yangu". Kama wengi mtakuwa na maswali, Chadema ijipange kwenye nini, mnaweza kunitembelea hapa nimeeleza kila kitu!. Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If ...
Chadema Hamjipangi!.
Hata baada ya kipigo kitakatifu cha Kalenga, kuna kitu nimewashauri Chadema kuhusu uchaguzi wa Jimbo la Chalinze!, ili Chadema kujionyesha chenyewe ni kidume, au kuvunjika kwa koleo sio mwisho wa uhunzi, bado itang'ang'ana na kuendelea kutumbukiza pua Chalinze!, angalau kwa Kalenga picha ilikuwa haisomeki sana!, Chalinze ndio maeneo ya strong hold ya wale vibonde niliowazungumzia kule ambao ndio mtaji wa CCM!. Uchaguzi Mdogo Jimbo la Chalinze: CHADEMA Muungeni mkono mgombea ...
Uchaguzi kama vita!, ukijijua huwezi kushinda, ule msemo wa "no retreat, no surrender" wa "kupigana hadi risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu limwagike!" huo ndio huo unaitwa "ushujaa!" alikufa vitani akiipigania nchi yeke!, mkiisha malizika wote, adui atapata walk over victory kuitwaa nchi yenu yote na nyinyi nyote kugeuka mateka!. Wapiganaji makini ni wale wakishajipima na kujiona hawawezi, hurudisha majeshi nyuma (retreat) na kujipanga upya!.
Chadema wakikubali ku retreat na kujipanga upya, wata boost kidogo morali ya wapiganaji wake, kiliko kuendelea kupeleka vikosi vyake vitani na kuishia kuwa wiped!.
Na Kwa 2015!, Chadema Haitajipanga!.
Kwa maoni yangu, Bunge hili Maalum, likifuatiwa na kikao cha Bunge, then kura ya maoni, then uchaguzi wa serikali za mitaa!, then uchaguzi wa ndani wa Chadema (uongozi uliopo madarakani kwa mujibu wa katiba ya Chadema, umalizika mwaka huu baada ya kuuongezea mwaka mmoja!, katiba ya Chadema haikutoa any possibility ya extra extension, japo uongozi wa Chadema unaweza kumuandikia Msajili na kulitaja Bunge Maalum ni "force majeure" hivyo kutofanya uchaguzi wake wa ndani kihalali kabisa!". Ndipo ufuate uchaguzi mkuu, huku kuna ile pending case!!. Kikweli kabisa, my honest opinion, kwa time iliyobakia kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015, mambo yaliyopo mbele ya Chadema ni too much! kwa Chadema kujipanga and the time is too little too late!, hivyo naiona wazi kabisa CCM ikirudi kujichukulia nchi kiurahisi kama imeokota!.
Hitimisho: Chadema na "Karma!"
Namalizia kwa kusisitiza, Chadema katika kupanga mambo yenu, zingatieni sana hii kitu inaitwa "Karma", msiidharau kabisa!, karma is real!.
Do the right thing or else!.
Poleni kwa ya Kalenga!.
Jipangeni
Paskali
NB. Paskali, ni mwanachama wa chama cha siasa na mtazamaji mzuri tuu wa hii game la siasa kazi yake ikiwa kutazama tuu!, na kueleza, na kutoa ushauri wa bure!.