Katika habari za saa za kituo cha ITV mwenyekiti wa CHADEMA ametangaza uamuzi huo.
kwa mapendekezo yangu hii ni hatua nzuri itasidia sana kuepuka na hizi habari za masalia na mamluki wengine ndani ya chama.
ungeandika;chadema haitapokea shibudas
Katika habari za saa za
kituo cha ITV mwenyekiti wa CHADEMA ametangaza uamuzi huo.
kwa mapendekezo yangu hii ni hatua nzuri itasidia sana kuepuka na hizi
habari za masalia na mamluki wengine ndani ya chama.
Kila kitu kina faida na hasara zake,tutegemee lolote mbele ya safari
mbona mnajichanganya kuna uzi humu chadema yakomba wanachama wapya 1000.
Upande mmoja ndio: cdm kupitia m4c wako mbioni kupata wanachama wengi vijana/wenye muono na wengi ambao si wanachama wa vyama vingine. zaidi ya tzns 12m ambao si wanachama ccm wanatosha kuingiza cdm ikulu.
upande mwingine, mlango wa wanaccm kwa vigezo maalum uwe wazi: mfano, kuwa mwanachama cdm bila mdaraka kwa mda furani- zaidi baada ya uchaguzi.
cdm imalisheni dafutari lenu la wana cdm pure kueleke 2015.
Mbona mnajichanganya kuna uzi humu Chadema yakomba wanachama wapya 1000.