CHADEMA haitokaa ipate Mbadala wa Dr. Slaa

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
37,547
47,199
Sote tunakubali kwamba, baada ya nguli wa siasa za upinzani Dr. Slaa kujiondoa Chadema mijadala ya issue sensitive toka Chadema imekoma, zimebakia porojo tu.

Nakumbuka kipindi kile Dr. Akiwa Bungeni, alikua anatoa hoja mujarabu zenye changamoto kwa Serikali na Taifa kwa ujumla. Alikua akiibua mambo ambayo yanafaa kujadiliwa.

Alipokwenda kugombea Urais na baadae kuteuliwa kama katibu mkuu, baada ya kuukosa urais bado aliendeleza kuwa pioneer wa mijadala chanya. Kipindi kile ilikua siasa ya hoja.

Ghafla yakatokea yale tuliyoyaona, akaamua kukaa pembeni tokea kipindi kile Chadema kimeshindwa kua chama kile kilichokua kikivutia baadhi ya watu kwa kuibua hoja zinazojadilika.

Sasa hakuna ubunifu bali ni kudandia mambo tu, kila jambo linalotokea hufuatia na tamko la chama.

Hakuna mtu mwenye weledi wake anayetaka kwenda Chadema akapate doa la kufukuzwa, ila kila mpiga porojo anataka kwenda kule maana watu wengi hupenda mzaha, hivyo ukiongea mambo ya mizaha utapata wafuasi wengi tu. Basi wamepaki wadandia hoja na sio waleta hoja.

Chadema imepoteza mwelekeo limebakia jina tu lililojengwa na walioondoka.
 
Sote tunakubali kwamba, baada ya nguli wa siasa za upinzani Dr. Slaa kujiondoa Chadema mijadala ya issue sensitive toka Chadema imekoma, zimebakia porojo tu.

Nakumbuka kipindi kile Dr. Akiwa Bungeni, alikua anatoa hoja mujarabu zenye changamoto kwa Serikali na Taifa kwa ujumla. Alikua akiibua mambo ambayo yanafaa kujadiliwa.

Alipokwenda kugombea Urais na baadae kuteuliwa kama katibu mkuu, baada ya kuukosa urais bado aliendeleza kuwa pioneer wa mijadala chanya. Kipindi kile ilikua siasa ya hoja.

Ghafla yakatokea yale tuliyoyaona, akaamua kukaa pembeni tokea kipindi kile Chadema kimeshindwa kua chama kile kilichokua kikivutia baadhi ya watu kwa kuibua hoja zinazojadilika.

Sasa hakuna ubunifu bali ni kudandia mambo tu, kila jambo linalotokea hufuatia na tamko la chama.

Hakuna mtu mwenye weledi wake anayetaka kwenda Chadema akapate doa la kufukuzwa, ila kila mpiga porojo anataka kwenda kule maana watu wengi hupenda mzaha, hivyo ukiongea mambo ya mizaha utapata wafuasi wengi tu. Basi wamepaki wadandia hoja na sio waleta hoja.

Chadema imepoteza mwelekeo limebakia jina tu lililojengwa na walioondoka.
CA931WC015 imethibitisha umepokea BUKU SABA kutoka kwa NAPE.Salio lako jipya la M-PESA ni 7000.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Chadema chadema chadema!!!!!??? Sasa kama imepoteza mwelekeo wewe una shida gani!?!? Mbaazi ujala wewe lkn unaishia Ku... Mba tu... Aaaaaa
 
Kweli nimeamini bila chadema nusu kijiko wa Lumumba hawali
Ofkoz yes, lazima shetani akemewe kila nafasi inapopatikana, naifananisha ukawa kama pepo flani baya linalotaka kuiaribu nchi yetu, nachukua nafasi hii kulikemea liachane na kutuhadaa..
 
Mcc wamesitisha mkataba na mataifa mengine kumi wamejitoa sa bajeti ya mwaka huu itakuaje ndio la kujadili sio chadema na dr slaa
 
Mcc wamesitisha mkataba na mataifa mengine kumi wamejitoa sa bajeti ya mwaka huu itakuaje ndio la kujadili sio chadema na dr slaa
Mataifa kumi ni yapi hayo mkuu..maana kutaja namba haisaidii sana, hata mimi naweza kuja hapa na uzi unasema mataifa 50 marafiki wa tanzania yameamua kuchangia bajeti yetu. Tunahitaji majina ya hizo nchi na ikiwezekana na statements zao maana ile ya MCC sote tumeiona.
 
Ni kweli kabisa Chadema hatuwezi mpata kiongozi anayependa papuchi kama Dr mihogo
 
Sote tunakubali kwamba, baada ya nguli wa siasa za upinzani Dr. Slaa kujiondoa Chadema mijadala ya issue sensitive toka Chadema imekoma, zimebakia porojo tu.

Nakumbuka kipindi kile Dr. Akiwa Bungeni, alikua anatoa hoja mujarabu zenye changamoto kwa Serikali na Taifa kwa ujumla. Alikua akiibua mambo ambayo yanafaa kujadiliwa.

Alipokwenda kugombea Urais na baadae kuteuliwa kama katibu mkuu, baada ya kuukosa urais bado aliendeleza kuwa pioneer wa mijadala chanya. Kipindi kile ilikua siasa ya hoja.

Ghafla yakatokea yale tuliyoyaona, akaamua kukaa pembeni tokea kipindi kile Chadema kimeshindwa kua chama kile kilichokua kikivutia baadhi ya watu kwa kuibua hoja zinazojadilika.

Sasa hakuna ubunifu bali ni kudandia mambo tu, kila jambo linalotokea hufuatia na tamko la chama.

Hakuna mtu mwenye weledi wake anayetaka kwenda Chadema akapate doa la kufukuzwa, ila kila mpiga porojo anataka kwenda kule maana watu wengi hupenda mzaha, hivyo ukiongea mambo ya mizaha utapata wafuasi wengi tu. Basi wamepaki wadandia hoja na sio waleta hoja.

Chadema imepoteza mwelekeo limebakia jina tu lililojengwa na walioondoka.
Mkuu mimi huwafananisha na POPO kwani ndio mwenye tabia ya kudandia kila mti ndio hao jamaa walivo sasa.
 
Mataifa kumi ni yapi hayo mkuu..maana kutaja namba haisaidii sana, hata mimi naweza kuja hapa na uzi unasema mataifa 50 marafiki wa tanzania yameamua kuchangia bajeti yetu. Tunahitaji majina ya hizo nchi na ikiwezekana na statements zao maana ile ya MCC sote tumeiona.
Katafute hizo namba sio kufuatilia masuala ya chadema haitusaiidi nyie ndio mnatuaibisha mitandaoni
 
Sote tunakubali kwamba, baada ya nguli wa siasa za upinzani Dr. Slaa kujiondoa Chadema mijadala ya issue sensitive toka Chadema imekoma, zimebakia porojo tu.

Nakumbuka kipindi kile Dr. Akiwa Bungeni, alikua anatoa hoja mujarabu zenye changamoto kwa Serikali na Taifa kwa ujumla. Alikua akiibua mambo ambayo yanafaa kujadiliwa.

Alipokwenda kugombea Urais na baadae kuteuliwa kama katibu mkuu, baada ya kuukosa urais bado aliendeleza kuwa pioneer wa mijadala chanya. Kipindi kile ilikua siasa ya hoja.

Ghafla yakatokea yale tuliyoyaona, akaamua kukaa pembeni tokea kipindi kile Chadema kimeshindwa kua chama kile kilichokua kikivutia baadhi ya watu kwa kuibua hoja zinazojadilika.

Sasa hakuna ubunifu bali ni kudandia mambo tu, kila jambo linalotokea hufuatia na tamko la chama.

Hakuna mtu mwenye weledi wake anayetaka kwenda Chadema akapate doa la kufukuzwa, ila kila mpiga porojo anataka kwenda kule maana watu wengi hupenda mzaha, hivyo ukiongea mambo ya mizaha utapata wafuasi wengi tu. Basi wamepaki wadandia hoja na sio waleta hoja.

Chadema imepoteza mwelekeo limebakia jina tu lililojengwa na walioondoka.
Ndugu Chadema ya sasa tofauti na Chadema ya wakati ule. Wakati ule walikuwa hawana majukumu mengine zaidi ya siasa, lakini sasa kuna siasa na kusimamia maendeleo ktk maeneo waliyopata kuendesba halmashauri. Lakini so hivyo tu siasa za sasa kwa Chadema no za tahadhari, huwezi kurusha jiwe Sokoni hujui litakayemgonga huenda mkweo yupo huko ananunua mboga. jiwe bays sana kwa chadema ya Leo no Ufisadi. Aidha kitu kinachitwa UKAWA kinawatesa jinsi ya kukilea, washirika wao wako hoi wamebaki wenyewe. Wanaendaje bila kuwaudhi wenzi wao nao in mtihani. Waliwaamini wakijua wakifanikiwa watawakumbuku ktk ufalme, matokeo take wanafutika kwenye ramani.
 
Back
Top Bottom