CHADEMA haitalipa kisasi kwa unyama na mateso makubwa wayopitishwa viongozi na wanachama wake

Mtalipiza kisasi gani wakati mnashindwa uchaguzi kihalali. Labda muwe na kisasi na wananchi kwa kutowachagua wakati wa uchaguzi. Sasa hicho kisasi mtalipiza vipi kwa wananchi? Kama ni kukamatwa na pengine vipigo vya polisi bila shaka itakua ukaidi wenu wenyewe kutoheshimu sheria.
 
Yawezekana ila hebu tujikumbushe 2015 ni kweli mlikuwa hamna mgombea wa nafasi ya uraisi?

The so called kubadili gear angani ilionesha hamna mpango na itachukua muda mrefu kuwaelewa kama kweli Chademaa ina mipango ya kweli?
Nje ya mada
 
Hapa tu ndio nawapendea hawa mwamba. Chama cha Mani na upendo
 
Ni dua za mwewe anatamani kuku
 
👍🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…