Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,127
- 2,945
KESI NDOGO IKATIWE RUFAA,
IKATWE RUFAA
KESI IKATIWE RUFAAA
KESI IKATIWE RUFAAA
IKATWE RUFAA
KESI IKATIWE RUFAAA
KESI IKATIWE RUFAAA
Zile kejeli zenu kwa akina Kingai vipi?
Uko kwenye heat unatafuta kupigwa miti weweUtapanic sana Manka
Imekula kwako- mchukue mkeo na wanaoWatanzania wote tudai katiba mpya
🤣🤣Imekula kwako- mchukue mkeo na wanao
Mamako anajuaWazee wa PGO
zile kejeli zao kwa kina Kingai sijui zimeishia wapi?
Usimwite gaidi, mwite baba mchepuko wa mamakoHata gaidi anaandaliwa mcbumba wake
Mnajidai mnapenda haki wakati hamjui hata nini maana ya haki, acha avune alichokipanda, kwa nini hamtaki kuskilizia ushahidi wa Mwamba aloyafanya na mnakaa kutetea tu ujinga? wacheni Mahakama itende haki, kesi ni ushahidi.Yule hakimu kahongwa cheo .. na ndiyo maana kajitoa kwa aibu. Ni kweli kwa uamuzi huo CDM ikae chonjo... hawa jamaa wameamua kumfunga Mbowe na kuifuta CDM kabla ya uchaguzi wa 2025
wa hiyo kajitoa kwakuwa haki haitendeki? Ndio kasema hivyo?
By the way hivi kwani si mnapumua nyie? Baada ya dikteta wenu kufa aliewatesa kwa miaka 5
Kama mwenyekiti mvua zinamkaribia unadhani mtaridhika?Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Chama hicho Mh John Mnyika kwenye viunga vya Mahakama kuu divisheni ya Uhujumu uchumi Mjini Dar es Salaam.
Wito wangu kwa Wanachama wa Chadema ni kuwa watulivu wakati viongozi wakitafakari hatua za kuchukua.
SHETANI HAJAWAHI KUMSHINDA MUNGU
Amani ikipotea hata wewe hautapona , jitahidini kutenda hakiKama mwenyekiti mvua zinamkaribia unadhani mtaridhika?
Pili haki kwa wapinzani ni wao wakishinda kesi .
Chukueni hatua ila zisitishie Amani mtaumia.
Kwamba ukimtukana mwenyekiti wa ccm unatengenezewa kesi ya uongo ya Ugaidi !Tatizo wafuasi wa Chama cha Mbowe mnajitoaga kabisa akili.. lazima muelewe kwamba Mwenyekiti wa CCM ndiye huteua hao majaji. Kuna vitu inabidi tu mkae chini na mwenyekiti wa CCM mkubaliane baadhi ya mambo ila kumtukana mwenyekiti wa chama kilichobeba matumaini ya watanzania wote mkiwemo ninyi wafuasi wa Chama cha Mbowe haitasaidia.
Hii itajirudia endeleeni tu.Hukumu ya Ugaidi ukikutwa na hatia, si kunyongwa hadi kufa au life sentence eti? At least tutapunguza Div 0 moja kisheria inayosumbua sumbua watu hapa.
Sasa kwanini asiufute huu ushenzi wa lile dubwasha lako?Kwahiyo ulitarajia aseme anajitoa kwakuwa haki haitendeki?
Tunapumua vizuri, maana hata wakati wa lile dubwasha lako tulikuwa tunapumua. Mama wa kambo anajitahidi kuiga udhalimu wa yule kiongozi muovu lakini hapatii. Hata huu ushenzi wote unaoendelea ni mbegu iliyooteshwa na lile dubwasha liovu.
Utapanic sana mankaUsimwite gaidi, mwite baba mchepuko wa mamako
Manka tulia gaidi apigwe miaka 30Uko kwenye heat unatafuta kupigwa miti wewe