Dawa ya Mjinga
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 382
- 147
Bondia Kamani ni wa chama gani vile?
Chama Cha Makapi. Naye keshafanyika makapi!
Bondia Kamani ni wa chama gani vile?
hakuna mambo ya ndio mwenyekiti ........demokrasia ya ndio mwenyekiti hatuna sie
Ofisi zipo kanisani.hiyo kali.hivi yule waziri bauncer aliiyemshsambulia afisa aliyekuwa anatangaza matokeo ya nafasi ya kugombea ubunge ni wa nchi gani?Hawa wanachama wanapigana hapa mi naogopa kusogea karibu, ni hapa Ofisin kwao Kanisa la Roman Geita mjini.