Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,788
- 218,415
Kwa Mara ya kwanza nachukua nafasi hii Kuipongeza sana CCM kwa kuzuia Mikutano ya siasa , ki ukweli hiki chama kingeruhusu Mikutano ya hadhara iendelee kama katiba ya nchi inavyotaka kingekufa kibudu , Lisifahamike hata kaburi lake lilipo .
Picha hizi chache hapa chini ni mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chadema huko Mkoani Rukwa , Jimbo la Kalambo leo tarehe 29/10/2022 , Katika Mpango wa Kisasa wa Chama chake wa kusajili wanachama uitwao Chadema Digital .
Unaambiwa huko Ukumbini hivi sasa Mtiti wa kusajili si wa kitoto , Ukiachilia mbali Polisi , ni kama Jimbo zima linataka kujisajili , Hebu ngoja Tuone itakuwaje .
Picha hizi chache hapa chini ni mapokezi ya Katibu Mkuu wa Chadema huko Mkoani Rukwa , Jimbo la Kalambo leo tarehe 29/10/2022 , Katika Mpango wa Kisasa wa Chama chake wa kusajili wanachama uitwao Chadema Digital .
Unaambiwa huko Ukumbini hivi sasa Mtiti wa kusajili si wa kitoto , Ukiachilia mbali Polisi , ni kama Jimbo zima linataka kujisajili , Hebu ngoja Tuone itakuwaje .