Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,789
- 218,428
Katiba Mkuu wa Chadema, John Mnyika angali kwenye ziara ya Kusimamia usajili wa kisasa wa wanachama (CHADEMA DIGITAL) ambapo leo ni zamu ya Mkoa wa Rukwa, huko Kalambo.
Hata hivyo alipofika Tunduma (ambayo ni nchi ya Chadema), amepigwa Stop na wananchi ambao wameziba kabisa njia na Kumlazimisha Mnyika atoe neno. Nisingependa kuwachosha sana , BALI NILICHOGUNDUA NI KWAMBA WANANCHI WANA KIU YA MIKUTANO YA HADHARA .
Hata hivyo, napenda kuwatoa wasiwasi Wananchi wote wa Tanzania, wavute tu subra, Novemba siyo mbali.
Nakala : Lukas mwashambwa
Hata hivyo alipofika Tunduma (ambayo ni nchi ya Chadema), amepigwa Stop na wananchi ambao wameziba kabisa njia na Kumlazimisha Mnyika atoe neno. Nisingependa kuwachosha sana , BALI NILICHOGUNDUA NI KWAMBA WANANCHI WANA KIU YA MIKUTANO YA HADHARA .
Hata hivyo, napenda kuwatoa wasiwasi Wananchi wote wa Tanzania, wavute tu subra, Novemba siyo mbali.
Nakala : Lukas mwashambwa