Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,741
- 26,317
Halafu nikiacha ndio iweje?Acha ubishi usio na tija
Halafu nikiacha ndio iweje?Acha ubishi usio na tija
Salama ndugu yangu Mmawia??Ndiyo maana wamekazania kuwashitaki viongozi wakuu wakiamini ndiyo watakuwa wameua upinzani.
Jamaa wamejaa utadhani cheti cha NIDASasa ni wazi kwamba Watanzania wamechoshwa na hali duni , na wala hawapigi kelele tena , hivi sasa ni vitendo tu .
Hebu angalieni wenyewe foleni ya Chadema Digital Kahama .
View attachment 1994738
Mungu ibariki CHADEMASasa ni wazi kwamba Watanzania wamechoshwa na hali duni , na wala hawapigi kelele tena , hivi sasa ni vitendo tu .
Hebu angalieni wenyewe foleni ya Chadema Digital Kahama .
View attachment 1994738
Habari ndio hiyo !Jamaa wamejaa utadhani cheti cha NIDA
Naona kimyakimya. Ile intelijensia naona kama imelala sana au imechoka?Habari ndio hiyo !
AllahuAkbarMungu ibariki CHADEMA
Wakubali tu hawana namna. Chama kinazidi kushamiri kama uyoga. Wananchi ambao hawakuogopa vitisho na ukatiri wa Magufuli sijui nani ataweza kuwavunja moyo tena.Lumumba FC Wanasonya Na Kutema Mate Chini
Wanaulizana Hivi Kahama Serikali Haipo Ama....
Angle zote wameshindwa.Ndiyo maana wamekazania kuwashitaki viongozi wakuu wakiamini ndiyo watakuwa wameua upinzani.
Kama wananchi walipita kwenye kipindi kile kichafu hawana cha kuogopa leoWakubali tu hawana namna. Chama kinazidi kushamiri kama uyoga. Wananchi ambao hawakuogopa vitisho na ukatiri wa Magufuli sijui nani ataweza kuwavunja moyo tena.
Tena hapo kwa kondoo kutawanyika ndiyo walifeli vibaya sana.Angle zote wameshindwa.
Walitumia kanuni ya Kumpiga mchungaji Kondoo watawanyike. Hii nayo imefeli
Ukana shilungo upo ndugu yangu?S
Salama ndugu yangu Mmawia??
Unasema "Hebu angalieni wenyewe foleni ya CHADEMA". Nimehesabu watu kwenye picha na kupata idadi ya watu 22. Nini cha ajabu kutokana na idadi hiyo?Sasa ni wazi kwamba Watanzania wamechoshwa na hali duni , na wala hawapigi kelele tena , hivi sasa ni vitendo tu .
Hebu angalieni wenyewe foleni ya Chadema Digital Kahama .
View attachment 1994738
Nenda kapige mswaki kwanzaNdo muache tabia zenu za kijinga kila siku kutukana makabila ya kanda ya ziwa! Ila pia hao sio watu wengi acha porojo!
Huna akili wewe mramba viatuMimi nishaamuka mapema tu! Nyinyi nyumbu ndo mmape da kuamuka mmechelewa! Nakwambia hao sio watu wa kujisifu! Halafu nimewakumbusha tu! Bila kubadilika tabia zenu chafu za kuwatukana wasukuma mtaendelea kuwa wanaharakati! Wasukuma wana mikoa takribani sita wanayodominate! Endelea kujifariji! Hao kwenye foleni hapo zaidi ya robo tatu ni wasukuma ukiiingia humu unaanza kuwatukana!
Umati wa watu kama 16 hivi😂😂😂😁😁😁😁😆😆😆😆Sasa ni wazi kwamba Watanzania wamechoshwa na hali duni , na wala hawapigi kelele tena , hivi sasa ni vitendo tu .
Hebu angalieni wenyewe foleni ya Chadema Digital Kahama .
View attachment 1994738
na ile ofisi yenu inaishi wapTatizo maccm wanafikili Chadema ni chama Cha Siasa tu,Chadema ni zaidi,Chadema ni idea,wazo,na huwezi kuua wazo/idea maana ni kitu kinachoishi mioyoni mwa watu