Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Corona inatisha sana....umati wa watu 16! Mnaupiga mwingi kwa kweli
Corona inatisha sana....umati wa watu 16! Mnaupiga mwingi kwa kweli
Chukua tahadhariCorona inatisha sana.
Jiwe linapogeuka mchangaChukua tahadhari
Polisi hawakupata taarifa za 'intelijensia' siku hiyo?Sasa ni wazi kwamba Watanzania wamechoshwa na hali duni , na wala hawapigi kelele tena , hivi sasa ni vitendo tu .
Hebu angalieni wenyewe foleni ya Chadema Digital Kahama .
View attachment 1994738
Point aseeWakumbusheni piya wajiandikishe katika Daftari la kudumu la wapiga kura, Maana Chama kinaweza kuwa na umati wa wanachama lakini wakawa hawana sifa za kuchagua viongozi katika Chaguzi nyingi zinazofanyika Kitaifa wilaya na hata kata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba unapogeuka udongo kwenye mashamba ya magereza kwa kazi ngumu za kifungwa😁😁😁😁😆😆😆Jiwe linapogeuka mchanga
Kamwe usiigope hukumu ya mwanadamu bali ogopa sana hukumu ya MunguMwamba unapogeuka udongo kwenye mashamba ya magereza kwa kazi ngumu za kifungwa
Inama nikubamize.Wewe jamaa ni shoga wa Lumumba,acha kuinamishwa na wanaume wenzio tubu bado Mungu anakupenda!
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Huo ni msumali wa motoKamwe usiigope hukumu ya mwanadamu bali ogopa sana hukumu ya Mungu
Ndiyo dawa yaoHuo ni msumali wa moto
Umepaniki kamanda. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu. Kilichofungiwa duniani kimefungiwa mbinguni😁😁😁😆😆😁😁. Sasa asubiri kitu kizito kumponda kichwani,kutoka kuwa mwamba mpaka udongo kwenye mashamba ya magerezaKamwe usiigope hukumu ya mwanadamu bali ogopa sana hukumu ya Mungu
Jiwe kafungiwa wapi?Umepaniki kamanda. Sauti ya watu ni sauti ya Mungu. Kilichofungiwa duniani kimefungiwa mbinguni. Sasa asubiri kitu kizito kumponda kichwani,kutoka kuwa mwamba mpaka udongo kwenye mashamba ya magereza
Umeona wanaoo haoo 😂😂Jamaa atakuambia ni utitiri wa watu na Kahama nzima imezizizma. Kwa kutia chumvi tu huyu Erythrocyte hajambo.
NCCR na hata TLP nayo ni mawazo na hiyo foleni wanaijaza vizuri tu mbona.Tatizo maccm wanafikili Chadema ni chama Cha Siasa tu,Chadema ni zaidi,Chadema ni idea,wazo,na huwezi kuua wazo/idea maana ni kitu kinachoishi mioyoni mwa watu
Magaidi ni wana ccm kama yule Hamza
Hapo ndiyo umeandika nini kama siyo hang over ya wanzuki?